Kifo cha Mtakatifu Perpetua na Felista

Kifo cha Mtakatifu Perpetua na Felista

Hakuna binadamu anyeitwa mtakatifu huku ni kudanganyana,Mungu ameumba binadamu wa aina mbili,Mitume na binadamu wa kawaida,Mitume wamepewa uwezo au kalama tofautitofauti sisi tumeumbwa na mapungufu, hakuna binadamu aliyekamilika kila unayemuona anamapungufu kwa nini umuite Mtakatifu wewe ndiye uliyemuumba
Mambo ya Walawi, 11:45 inasema hivi, Kweli, ni mimi Bwana niliyewaondoa katika nchi ya Misri nipate kuwa Mungu wenu; basi ninyi mtakuwa watakatifu kwa kuwa mimi ni mtakatifu.
Na Mtume Petro katika barua yake ya kwanza (1 Pet 1: 14-16) anakazia kwa kusema, "Muwe watoto watiifu. Msifuate tena tamaa zenu kama wakati mlipokuwa hamjui bado kitu. Bali kama yeye aliyewaita alivyo mtakatifu, hivyo yawapasa ninyi pia kuwa watakatifu katika mwenendo wenu wote. Kwa maana imeandikwa: "Muwe watakatifu kwa kuwa mimi nilivyo mtakatifu."

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna aliyekufa atakayekuombea wewe. Na hata aliye hai hakuombei ufutiwe dhambi.dhambu zako hazifutwi kwa maombi ya watu wengine.ni wewe kuziacha.habari za kuwa watakatifu wanatuombea huo ni uongo.

Nahisi hata ndoa ulijifungisha na ubatizo ulijpa mwenyewe si kweli ndugu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Safi. Anayekuombea yupo wapi?marehemu hawezi kukuombea kama ambavyo wewe huwezi kumwombea akapata rehema huko aliko.anayeweza kukuombea ubadilike ni aliye hai.but yeye haondoi dhambi zako.kama unazo zitabaki zako.badilika tu ndo msingi

Ninaweza kujiombea na kuombewa.
 
Safi. Anayekuombea yupo wapi?
Kokote - mbinguni au duniani

marehemu hawezi kukuombea kama ambavyo wewe huwezi kumwombea akapata rehema huko aliko.
Nani alikudanganya? Mbona hata kwenye Biblia watu wengi tu waliombea marehemu na sehemu nyingine marehemu waliwaombea watu waliohai?

anayeweza kukuombea ubadilike ni aliye hai.
Kama aliyehai anaweza kuniombea, kwa nini marehemu asiniombee?

Usikariri.
 
Wewe umekaririshwa. Nipe kifungu cha marehemu kumwombea aliye hai kwenye biblia.

Biblia inasema kufa mara moja na baada ya kifo hukumu. Waebrania 9:27
Hata uombewe na nani.mapadre au wachungaji,maaskofu milion 100 kama ulitenda dhambi haikusaidii kitu. Hujasoma hbr za Lazaro? Twende kwa vifungu siyo kukaririshwa.


Kokote - mbinguni au duniani


Nani alikudanganya? Mbona hata kwenye Biblia watu wengi tu waliombea marehemu na sehemu nyingine marehemu waliwaombea watu waliohai?


Kama aliyehai anaweza kuniombea, kwa nini marehemu asiniombee?

Usikariri.
 
Wewe umekaririshwa. Nipe kifungu cha marehemu kumwombea aliye hai kwenye biblia.

Biblia inasema kufa mara moja na baada ya kifo hukumu. Waebrania 9:27
Hata uombewe na nani.mapadre au wachungaji,maaskofu milion 100 kama ulitenda dhambi haikusaidii kitu. Hujasoma hbr za Lazaro? Twende kwa vifungu siyo kukaririshwa.
Hii mada tulishaiongea sana humu, kama upo kwenye jukwaa la dini useme niku-tag.
• Ukisoma katika Kitabu cha Mwanzo 4:10 utakutana na habari ya Habili (aliyekuwa ameuliwa na Kaini) akidai haki mbele za Mungu na Mungu akamsikia.

• Injili ya Luka 16:19-31 tunakutana na habari ya tajiri ambaye baada ya kifo aliomba kufarijiwa na Lazaro kutokana na shida alizokuwa anazipata.

• Kitabu cha Ufunuo 8:3-4 kinatueleza habari za watakatifu waliopo Mbinguni wanaotoa maombi yetu mbele ya kiti cha enzi.

Mifano inaweza kuendelea.
 
Back
Top Bottom