Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
Hata chako mwenyewe hakitakusikitisha mkuu? Au kwa vile hutakuwepo? 😁Hakuna kifo kilishawahi kunisikitisha au kitakacho kuja nisikitisha .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata chako mwenyewe hakitakusikitisha mkuu? Au kwa vile hutakuwepo? 😁Hakuna kifo kilishawahi kunisikitisha au kitakacho kuja nisikitisha .
Alikuwa na matatizo yake lakini aisee alikuwa kiongozi sahihi sana kwa nchi yetu. Mabadiliko ya kweli yalianza kuonekana!John Magufuli inaonyesha alikubalika na kupendwa sana. Challenge zote zinazomuhusisha akiwa hai na hii ya kuumiza kwa kifo. Amekuwa akipata kura/ kutajwa kwa wingi kushinda wowote.
AMEFUFUKA.YU HAIYesu kristo
Huyu ni tomboy,anawasaga wenzieNi Mwanamke Ila anataka kutuambia yeye ni Mwanaume, sasa sielewi Zigo la Masogange yeye Mwanamke alitaka kulifanya nini?
John Pombe Joseph MagufuliView attachment 3011564
Wa sasa hata akifa naenda bar kula bia.
Mbona jamaa yuko area 51 anakula tu bata. Nani kakudanganya kuwa kafaOsama Bin Laden kifo chake kilinisikitisha sana nilitamani wamkamate akiwa hai then wamkate ndevu kwa chupa then wamnyoe upara then wamvalishe magwanda ya Orange then wamtupe pale Keko!
Shabhashhhh!
Bond, James Bond.Tumekuwa tukiumizwa na vifo vua watu wa karibu Kama ndugu jamaa au marafiki au majirani kutokana na bond tuliyokuwa nayo.
Je, kifo Cha mtu Gani maarufu kishawahi kukusikitisha kutokana na mchango wake katika jamii au athari chanya aliyoleta?
Mme? Ikawaje ukanipa nafasi mimi nimkaimu bila ridhaa yake.Hakuna mtu maarufu zaidi ya baba na mama yangu na mme pia.
MAGUFULI,nilitoa hadi chozi utazani ni mzazi wangu japo kwenye utumishi alitunyonga sana but I never forget that man alikuwa mtu mwenye maamuzi n amisimamo,R.I.P #MAGUTumekuwa tukiumizwa na vifo vua watu wa karibu Kama ndugu jamaa au marafiki au majirani kutokana na bond tuliyokuwa nayo.
Je, kifo Cha mtu Gani maarufu kishawahi kukusikitisha kutokana na mchango wake katika jamii au athari chanya aliyoleta?