MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Long time nilikuwa STD III Kambarage P/S
Hapo hapo Kambarage near na ile garden iliyokuwa na kisimaUlikua unaishi Mwasele, Lubaga au Bushushu mzee????
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
Shimamoo saragossahahaha kumbe wengi wadogo humu. nlikua kazini mitaa ya ohio Dar. kazini ilikua ni mwaka wa pili. chuo nlishamaliza na CPA juu.
marahaba mkuuShimamoo saragossa
jamaa unajua hapa nilipo nipo kwenye kikao cha wazaz hapa shulen yaani nimecheka sana mpaka wazaz wananishangaa yaanLazima niwe mkweli nilikuwa darasa la sita shule ya msingi Mbuyuni hapo njia ya kuelekea posta, tulirudishw home kisa nyerere kafa, nilipofika nyumbani nilimkuta mwenye nyumba analia mithili ya mtu aliyebakwa