Pukudu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 3,149
- 2,232
Hata mimi huu msiba ulifanya graduation yetu ya form 4 ikafutwaMm pia nilikua form four nakumbuka tulikua tunajiandaa na graduation ila ilifutwa coz Rais Mkapa alitangaza siku 30 za maombolezo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mimi huu msiba ulifanya graduation yetu ya form 4 ikafutwaMm pia nilikua form four nakumbuka tulikua tunajiandaa na graduation ila ilifutwa coz Rais Mkapa alitangaza siku 30 za maombolezo
Nilishamaliza kidato cha nne. Nina miaka saba uswazi darNilikua darasa la 3 sm ndanda mtwara,walimu walikua na redio ofisini,
Huu uzi mpaka nimesahau nimechangia lini.Nilishamaliza kidato cha nne. Nina miaka saba uswazi dar
Ukubwa una tatuzi za mambo mengi usikataeAcha roho mbaya wewe tena si ajabu wenye umri mdogo wana hekima kuliko wenye umri mkubwa. Ukubwa wa mtu hatuangalii idadi ya miaka aliyonayo au wingi wa mvi zake bali tunaangalia busara na hekima zake katika mambo mbalimbali ya kiutendaji hata utatuzi wa shida katika jamii inayomzunguka.
MarahabaàaaaaHuu uzi mpaka nimesahau nimechangia lini.
Shikamoo braza.
ndo yule alikuwa anaishi kigamboni, alikuwa analeta maziwa ya cowbell? nilikuwa la nne C.Na Lupembe, na yule mwalimu wa kingereza mweusii mmama alikua na mtoto wake wa kike std4 alikua anachapa balaa..
Dah! Hapa nilicomment mimi kweli?Nilikuwa chumba cha sita, lakini nilikuwa na akili zangu, kwani SHULE yetu ipo karibu na makaazi so niliskia wimbo wa taifa unapigwa redioni mchana kwenye saa sita na ushee hv, nikawaambia marafiki zangu"mbona wimbo unapigwa sahv" mmoja wa marafiki zangu akasema kitu sio bure ndio tukaenda kusikiliza.
Ila mkuu hao waliokuwa darasa la pili 99 leo watu wazima sana appro miaka 30 washafika. Unaanzaje kuwaita watotoUmeonaeee, sie wakati huyo jamaa anakufa tuwatu wazima kabisa na k tunakula. Nashangaa wengi wanasema lapili mara darasa la tatu, si bora hao walokuwa form 4. Ndo maana tunapojadili maswala ya msingi huku tunakuwa na shida sana kumbe watoto wamejaaa aghhhhhrrrri.
Natania tu bwana watotot msiogope, nyie ndo mnafanya JF isiwe boared, I like you kids.
Hawafiki miaka 30 hata kwa ndumba!Ila mkuu hao waliokuwa darasa la pili 99 leo watu wazima sana appro miaka 30 washafika. Unaanzaje kuwaita watoto