Mafian cartel
JF-Expert Member
- Nov 19, 2021
- 3,876
- 7,118
Naunga mkonoWord.
Viwanja kama hivyo ni vya malaya,drug dealers, blackmailers, Pimps, wazee wa dark tricks zote na mafekeche
Viwanja kama hivi utapata HIV, gonorrhea, syphilis,klamedia, UTI, herpes, mfangasi.
Watu smart bwenye cashflows zao wanakula hyatt regency naovenpick au double tree by hilton.
Wanakula wale high class bi.tc.hes Au career women.
Mtu smart hawezi fvck demu mvuta sigara,mvuta shisha mwenye mitatoo kama gazeti.
These areas are there for the damned people with purposes but luckily visited by money.
Aah wapi sio kwa ngadaUtakutana na motivation speaker anayebadilisha manyoya kuwa kuku atakubadilisha na wewe msimamo wako
Mzab hatareeWale hawanaga udada
Msalimie AfisaMzab hataree
Jmn rafiki yangu. Wewe huishi ndani ndani ujue😂😂😂Geita tumekukosea nini lakini😂😂😂
Kuna casino flani maarufu hapo Dar, Mengi alikua anaenda kucheza hio michezo Sana,kuacha mil 40 per night ilikua kawaida Sana.Na Wala sio inshu Maana "anachapisha hela kila siku" (Industries),Sasa wanyonge wakusubiria nyongeza ya mshahara lazima tuone Ni story za uongo hizi.tunajipa moyo wenyewe "eti matajiri hawatumii hela" hahahahahaha.
kila hutumia kwa kiwango chake na maeneo ya kiwango chake..
Tajiri ananunua Yatch inaelea pale yatch club dar, kwa mwezi unakuta anaitumia mara moja, tajiri ananunua marange, mav8 yamejaa kwenye parking hana kazi nayo...
Tajiri hagumii hela Kidimbwi, nenda Hayyt Casino au pale New Africa uone kamari inavyokula hela za matajiri...
Wale wanaokula bata kule Ibiza bila shaka nao ni malimbukeni.....hahahahaha..
kuna mtu level yake kusumbua ni kwa Mtogole, mwingine Buza, mwingine Juliana mwingine weekend pale Dubai nk....
Kuna casino flani maarufu hapo Dar, Mengi alikua anaenda kucheza hio michezo Sana,kuacha mil 40 per night ilikua kawaida Sana.Na Wala sio inshu Maana "anachapisha hela kila siku" (Industries),Sasa wanyonge wakusubiria nyongeza ya mshahara lazima tuone Ni story za uongo hizi.
Wakina Kusaga wamepark Yatch zao pale Yatch club na wanapiga bataz za kufa mtu.
Mtu anaesema matajiri hawali Bata anakua anaongelea wale matajiri wetu tuliowazoea wa kina Mwakipande.
Afisa gani? We tatizo hutaki kuwa muelewa. Sio mimi wa huko kusiniMsalimie Afisa
Linapokuja suala kutumia pesa, kuna mambo matatu kwa mawazo yangu yanapelekea kutofautiana kwenye utumiaji.anazungumzia wale watoa kafara wenye hela za uganga, Tajiri una hela halafu unalala chini......hahahahha
Acha niishi huku ndani ndani japo pesa hamna ila ndo pameninogeaJmn rafiki yangu. Wewe huishi ndani ndani ujue😂😂😂
Ahahah[emoji28]..nenda Kwanza ukafute tongotongo ili uwe na ushuhuda konkiishia hapo hapo mkuu, ngoja nami nikawasimulie kijiweni
Hapana..mtu unakuwa na confidence ukiwa na doo mkuuHaukupata mtoto mkaleee
Mkuu tongotongo ya 1.5m😂🤣😂Ahahah[emoji28]..nenda Kwanza ukafute tongotongo ili uwe na ushuhuda konki
Kwani hadi uwe na hela ndio upate demu 😳Hapana..mtu unakuwa na confidence ukiwa na doo mkuu
Sikuwa na shobo na demu kbs
Karibu tujuane ndugu yangu, naishi Kitangiri.Kweli mkuu, kwa mtu wa Ibinzamata,Kizumbi,Mwigumbi,Upongoji, Iselamagazi ataona hio Ni chai kabisa.Piga balimi 4 hapo mwanawane.
LolNgoja ukutane na kina marley dollar...na bill za 5 to 6 m...
Marley dollar ana migodi??? MakubwaWazee wa migodi