Kifo cha pesa Beach Kidimbwi

Nimemwekea bill hapo..alafu sikutaka tufike huku,kupost na mapicha picha niliogopa kufanya Uzi uonekane Kama tangazo,lkn nilipoona amekaza fuvu nikamwekea bill ya vinywaji ambayo ina bei za milioni
Bill au menu?
 
We mzee mzima mwenzangu
Huko kwann nn Acha tujikalie pemben
Tuwachie watoto huko na watu wazima wageni wa starehe huko tu

Ova
We mzee mwenzangu kuna mahali hukanyagagi?
 
Starehe zinatofautiana.

Wengine kelele sio starehe.

Nikipata bia huku napiga story au maongezi ni starehe kubwa kwangu.

Yale mambo ya kupakazana majasho na kupigiana kelele hapana. Sio starehe kwangu.
 
Elisha Chengula.

Kipi cha kuweka kapuni wakati jina lake linajulikana almost kila sehemu?
 
Aisee [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]. Wana kawee tuna ungana na weweee
 
Hapo unashangaa ndo Kidimbwi, ... ukifika Baharini itakuwaje ndugu? 😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…