Kifo cha pesa Beach Kidimbwi

Wewe mzee unatafuta nini kwenye huu uzi?

Kweli mkuu hii 40+ si haba ndo maana naona ni fujo tu huko lkn kipindi kile nilikuwa naona hapo kama nipo sijui pepo ya wapi na walio lala naona kama wanapitwa na ya Dunia dah , shida ni huu umri naona na kupitia mengi machache ya hii Dunia
 
Kikubwa TRA kusanyeni Kodi ipasavyo tunajenga SGR phase 2
 
Npo hapa kidimbwu bichi. Kwa kweli madem wa hapa wanashobokea sana hii Range yangu kuna haka kananiuliza eti boss hv kumbe usajiri ushafika namba E??

Kuna watu mtasema nmeandika chai[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ulikatafuna ?
 
Sijawahi tia maguu hapo
Na sijui kama ntakuja tia maguu

Ova
 
Npo hapa kidimbwu bichi. Kwa kweli madem wa hapa wanashobokea sana hii Range yangu kuna haka kananiuliza eti boss hv kumbe usajiri ushafika namba E??

Kuna watu mtasema nmeandika chai[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii ni chai, Aahah.

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…