Hivi ni kifo cha kawaida au yule mvamizi kausika maan eti wakati t.lisu anatunguliwa alikuwa DomRIP RUGEMUTAHABA
Kama n kweli kuna binadam kahusika kukutanguliza MWENYEZI MUNGU AANZE KUMLIPA HAPA HAPA DUNIAN
[emoji27][emoji27]so sad
Sent using Jamii Forums mobile app
Binafsi naona waliomantain tofauti zao na jamaa kipindi anaumwa basi waendelee kumute hivyo hivyo hata sasa.
Kila mtu ana mema na mabaya yake..
Kama Ruge alizingua wakati yuko hai unategemea watu wangempigia makofi kisa tu akifa watakosa cha kuongea..
Kwenye mazuri tutamsifia kwenye mabaya tutamsema..
Lakini wakiwa hiki ni kipindi cha msiba tunayaacha mabaya kwanza tuwafariji wafiwa....tutamkumbuka kwa mazuri na tutajifunza kwa mabaya yake..
Sent using Jamii Forums mobile app
Scandal za kunyonya wasanii!