carcinoma
JF-Expert Member
- Mar 5, 2017
- 5,059
- 13,771
Kila mtu ana mema na mabaya yake..
Kama Ruge alizingua wakati yuko hai unategemea watu wangempigia makofi kisa tu akifa watakosa cha kuongea..
Kwenye mazuri tutamsifia kwenye mabaya tutamsema..
Lakini wakiwa hiki ni kipindi cha msiba tunayaacha mabaya kwanza tuwafariji wafiwa....tutamkumbuka kwa mazuri na tutajifunza kwa mabaya yake..
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama Ruge alizingua wakati yuko hai unategemea watu wangempigia makofi kisa tu akifa watakosa cha kuongea..
Kwenye mazuri tutamsifia kwenye mabaya tutamsema..
Lakini wakiwa hiki ni kipindi cha msiba tunayaacha mabaya kwanza tuwafariji wafiwa....tutamkumbuka kwa mazuri na tutajifunza kwa mabaya yake..
Sent using Jamii Forums mobile app