Kifo cha Stan Katabaro kilivyoharibu legacy ya hayati Mzee Mwinyi

Tuambie kuhusu Imran Kombe. Kwa maslahi ya Taifa u hv 2face the concequences
 
Stan Katabalo alikufa natural death due to severe illness.

Nakumbuka article zake katika gazeti la mfanyakazi lakini kifo chake hakikuhusiana na masuala ya kazi yake.
 
Kuna kituko Mwinyi alifanya nadhani wakati huu sultan angekuwa ndo mtawala wetu.
Waarabu walimshauri aachane na mambo ya kuimarisha taasisi za kukusanya kodi badala yake wao watafadhiri serikali na kutupa misaada tuache kukusanya kodi!
Awape loliondo na maeneo wanayoyataka wao watatoa pesa za ku run serikali.
Nyerere akawaka sana na kuna hotuba yake ipo mpaka leo na Mwinyi akanywea.
 
Mwandishi nguli aliyeshinda nishani ya Nobel ya fasihi ya mwaka 1970, Alexander Solzhenitsyn, aliandika hivi.

“If only there were evil people somewhere insidiously committing evil deeds, and it were necessary only to separate them from the rest of us and destroy them. But the line dividing good and evil cuts through the heart of every human being. And who is willing to destroy a piece of his own heart?

During the life of any heart this line keeps changing place; sometimes it is squeezed one way by exuberant evil and sometimes it shifts to allow enough space for good to flourish. One and the same human being is, at various ages, under various circumstances, a totally different human being. At times he is close to being a devil, at times to sainthood. But his name doesn't change, and to that name we ascribe the whole lot, good and evil.

Socrates taught us: 'Know thyself!”

― Alexander Solzhenitsyn, The Gulag Archipelago
 
Katika mkataba wa ukodishaji wa loliondo, Mwinyi aliacha amewapa waarabu wa Loliondo time limit ya kukaa hapo.

Mkapa akaja akawaongezea Muda
Kikwete akawaongezea Muda
Magufuli akawaongezea Muda
Na sasa wapo na Samia!

Lissu amewahi kulifafanua vizuri sana hilo!
 
Swali, mzee Mwinyi baada ya machozi alifanya nini?
 
Hakuna details kwenye Uzi wako,hujataka kueleza kifo Cha stan kilikuaje,aliuawa au!...ili tu uvipake damu ya stan viganja vya mzee mwinyi,miaka hiyo ndo tumetoka kwenye ujamaa,hata wasomi wetu hawakujua Wala kuamini katika uwekezaji, loliondo kuliuzwa au palifanyika uwekezaji!?..kabla ya loliondo hatujawahi kuingia mkataba wa miaka mia na familia ya kifalme ya uingereza kwa ardhi yetu nyanda za juu kusini!?..mmeliimba hili Kama loliondo!?
 
Kwanini waislamu mnajistukia sana? Kwasababu hiyo hali nishaiona kwa wapuuzi wengi wakiislamu ukimkosoa samia tu utasikia kisa ni muislamu aisee hakuna watu wapumbavu kama waislamu
Ndivyo mlivyo,mnafichaga udini wenu kwenye Zanzibar na pwani
 
Binti hidaya haikuwa ya msela nondo wa uingereza makengeza bin Richard bin mabala,Aya ya ayaa Binti hidaya
 
Ni uuzani au uwekezaji!?
 
Kwa hiyo Mzee ruksa baada ya takribani miaka 33 anaenda kukutana stan. Miaka haicjelewi
 
Enzi za vimemo kupitia messenger mzee Butiku na waziri mkuu Jaji Warioba?!!! Unazungumza Enzi za kivuli cha Mwalimu JKN na kupanga nani awe waziri nani akae paleee? Hauwezi kuwa serious na Enzi za zidumu fikra za Mwenyekiti
What is your point?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…