Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael (Lulu)



Angalia hii jamani eti anamuita BABA ...........




Cheki jamaa anavyochunga mzigo, Hope anachunga KI- ZYGOTE chake wasije kikiharibu.







Mhhhh!
na hii je,
Eti "HAKI ZOTE ZIMEIFADHIWA" Zipi hizo?
 
what kind of statements to the public. Why dont they mute to awaiting for the judicial position.
 
kwa usalama wake ni lazima atulie humo mahabusu kidogo,
tatizo la watz wataanza kum fa nya hata huko huko aliko,
na katoto kenyewe akili ilishaharibika ataona ndo njia ya kumwokoa, lol.
 
MUNGU akulaze mahali Pema peponi, Amina.

  • by: Remmy
 
hao wanaojifanya wanalia sana kwanini hawakumtumia
baba kanumba nauli, bongo ni umbeya na majungu ndo yanatawala tu.
 
Lulu mwenyewe kwenye kwenye kipindi cha Mikasi alifunguka kwamba she is 18.
Let her face the consequences.

Kwanza atasema ukweli ana 18 hata kama ana 17??
 
kwa usalama wake ni lazima atulie humo mahabusu kidogo,
tatizo la watz wataanza kum fa nya hata huko huko aliko,
na katoto kenyewe akili ilishaharibika ataona ndo njia ya kumwokoa, lol.

Dogo abakie tu huko mahabusu maana hata now akitoka ataongea na nani huko nje na atapita wapi??
 
mama atakuwa anafahamu
katoto ka miaka 18 kana gari wewe
utakuwa hujui kweli, saa 6 usiku katoto
kapo kwa kanumba wewe hujui kweli.
sijui lakini.
 
Yule ni mtoto, walikuwa wanafanya nini uchi chumbani?Kwanza ni a clear self defense case.
Sitetei walichofanya kina Zitto, however kusema wasi raise issue kwasababu kuna watoto wengine mahabusu, haina mantiki. Kwenye dunia ya sasa, mfano huu utatumika kama fundisho.
Hao ndo masuper star wenu, unless otherwise useme siyo.
 
Kifo hakizoeleki kinauma sana.
R i p kanumba, bwana alitoa na bwana ametwaa. Amen
 
Nasikitika kafa dhambini,lakini simlilii.Kama unamlilia wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…