Achana nao!Wivu tu unawasumbua!She cant do dat!Hata Diamond sio mkweli kwa kila kitu alichosema i guess!Ni kweli amebadilisha wanaume wengi kwa mda mfupi!But who is perfect kwa kila kitu?I mean dat should a weakness to her but inawezekana hajapata wa kumpenda!With dat said,plz muacheni mtoto wa watu!She is innocent!Watanzania tunapenda sana mdomo usiokuwa na maana kwa wenzetu bila kujali upande wetu tukoje na tunafanya nn!I hate sniches!
You have the point.......lakini hapa ulipaswa useme baada ya kuzitafuna pesa za rambirambi ndiyo watajuwa Baba ni nani na Mungu asimami upande wa Dhuluma hata kidogo, ila hawa wasivyo na aibu usikute hata ile Land cruiser Amazon ya Kanumba ipo nyumbani kwa Mtitu hawa watu ni wabaya mno.Mzee yupo right, Haiwezekani baba kumpigia magoti mtoto. kiherehere chenu mwisho baada ya maziko, mtagundua baba maana yake nini!!!!!
kama m2 huna kaz bora uchukue jembe ukalime kuliko kuanza kuichambua mait ni dhamb!
kama m2 huna kaz bora uchukue jembe ukalime kuliko kuanza kuichambua mait ni dhamb!
Mleta maada anachambua nafsi na si maiti kama unavyosema wewe!
Wema ni teja la mapenzi hana jipya kwakuwa hadi leo diamond bado anammega,yule jamaa yake mwingine Jumbe naye bado anammega inshort anawashwawashwa sana chini
Mbona hilo lipo waz mkuu,ww angalia kamati yote ya mazishi ndugu wapo mwachache wengi walikuwa wasanii wenzake na marehem.
kuna siku nimesoma uzi hapa kuwa ile kamati ilikuwa inamsubir mama wa marehem ili wamshawish mazish yawe j4 Dar!
so nafikiri nafas ya familia kutoa maamuzi ilikuwa ndogo sana ni kama jeshi vile.
Atoke tu mbona naye ana mashabiki wengi tu, tutamtetea ipasavyo