Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael (Lulu)

kwa usalama wake ,asipate hata iyo dhamana kwanza.atapita mitaa ipi,na atawaangalia watu vipi ?watu wana hasira nae

Ndio nilichosema hapo juu huyu dogo kwa sasa hivi inabidi awe chini ya ulinzi mkubwa sanaa na hata ikiwezekana kama kesi yake ikienda vizuri, bora hata wamsafirishe nje ya TZ la sivyo hii nchi hato maliza huu mwaka watamfanyia cha kumfanyia tu,
 
Jaman am sure she didn't say such a thing mana juzi kafunguka kuwa they were communicate but not that much ila a week before kanumba hajaukata he was calling her lots of time..... Wa tz punguzeni uzushi jamani
 
kamati ya mazishi ilimtumia mama mtu nauli/ticket tena ya ndg toka bkb to dar.Mbona haikufanya ivyo kwa baba.kuna nn hapo?
 
mkuu kama we ungekuwa pastor ungeweza kusema hadharani?
Definetely,........ Mandela alitangaza makaburini kwamba mwanaye waliyemzika alikufa kwa ukimwi, siku hizi maadili yameshuka yaani imekuwa kawaida binti wa miaka 18 anaulizwa na mtangazaji kwenye official interview eti una boy friend!!?? sasa tutawafungisha ndoa kilazima huu uzinzi inabidi ukomeshwe.
 
Jaman am sure she didn't say such a thing mana juzi kafunguka kuwa they were communicate but not that much ila a week before kanumba hajaukata he was calling her lots of time..... Wa tz punguzeni uzushi jamani

Mm nimesoma hiyo habari gazetini. Bas hawa wa magazeti inabidi waadabishwe kwa ku exagrate habari
 
Nikweli kabisa hii story mbona inajulikana! Tena huyo Mhe. ni HIV postive. Yaani ni nomaaaaa!
 
Mengi yatasemwa lakini Kanumba will remain an icon of Tanzanian young men and women.Lulu is not guilty until now
 
:shock::shock:Mengi yatasemwa lakini Kanumba will remain an icon of Tanzanian young men and women.Lulu is not guilty until now
 
Mmh! Huyu wema nae.... Kweli pendapenda hajazmia kuwa kaumia roho tu ila pia vile kanumba alivokua anampigiapigia simu hiyo wiki 1 alishajipa moyo kuwa wanaendeleza game
 
Tumesema mengi juu ya Kanumba,kuna ambayo yatasaidia kutuelimisha.
Lakini sasa imebaki historia tuu.......Kanumba hayupo tena.
Mm nina yangu yamenigusa,kwanza natoa pole kwa wafiwa wote.
Baada ya pole sasa ngoja nifunguke.
Ktk ukiristo kuna kifungu kinasema"ulitoka kwa udongo utarudi kwa udongo"kwa uelewa wangu ni kwamba tuliumbwa kwa udongo na tutarudi udongoni.
Kwa kutumia kifungu hicho basi mwenyezi mungu atawahukumu wote waliomjengea kanumba "hekalu"la kumzikia badala ya kaburi.Sasa kwa mjengo huo yeye atarudi kwa udongo lini?Hamuoni kama atasubili miaka mingi sana kurudi udongoni?
Na huyo sijui padri hakuliona hili?au yeye kifungu hiki hakijui?
Nasisitiza kwamba hayati KANUMBA hakutendewa haki kabisaaaaa!
Naomba kuwakilisha.
RIP KANUMBA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…