Au kakasirika SK kamwibia Lulu wake? Inawezekana ndio alikua anaongea nae usiku ule
hivi ile simu ya lulu iko polisi au?
umenichekesha.hii kaliMbona tayari kishaanza kuandika mistari ya gospel huko "segemnege"single atakayoanza nayo inakwenda kwa jina la "pepo la ngono niachie"
Wadau ni kwa nini Ramsey Nouh,business associate na close friend wa Marehemu Kanumba kashindwa kuja kumzika rafki yake?
Taarifa za kintelegensia zinasema ni wassira
si ni mimba yake mkuu???Hata kama ana mimba sidhani kama anajua ni ya nani.
Mwl Nyerere aliwahi kusema Darisalama ni jiji la Umbeya sana.....jaman wadau kuna tetesi kuwa lulu ana ujauzito wa miez miwili, sasa kuhusu kuwa ni wa kanumba or not nalo halijulikan, kama kuna mwenye uhakika na hl plz tufahamishane kwa sababu binafsi ningefurah sana kama kanumba kama huo ujauzito(kama ni kweli upo) ni wa kanumba kwa sabab nakumbuka alipohojiwa kwenye kipindi cha mikasi alidai hana mtoto. hyo ingekuwa kumbukumbu yake na ingeendeleza jina.
hv mna uhakika na mnayo andika au mna tunga theory na kuzi publish humu. grow up pls! how valid are ur texts?
Kwani ujui simu ya mwisho alipigiwa na kigogo? Huyo ndo anamlinda full stop.