Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael (Lulu)

Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael (Lulu)

siku zote nilikuwa namtetea wema kuwa anaonewa na mambo mengine kama alivyo dhalilishwa na diamond lakini nimegundua yule msichana hayuko sawa.
Leo nimesoma kwenye gazeti flani katika mahojiano na gazeti flani wema akidai kwamba hakuwai kuachana na kanumba na kwamba walikuwa na mapenzi ya kisirisiri kwa kuwa kila mmoja alikuwa na mtu wake tayari.
Sasa nimebaki najiuliza kulikuwa na umuhimu gani wa huyu binti kusema haya kama si kuonesha jinsi gani alivyo malaya.
Na hata kama ni kweli kwanini aje kuyasema leo ambapo kanumba anaitwa marehemu kwanini asingeyasema akiwa hai.
Huyu dada ni mpuuzi na mpenda sifa za kijinga.

it is very sad mtu anasubiriwa afe ndio watu waongee maujinga, hv hy wema kweli atakuwa network haikamati, why aseme maneno hayo halafu anapenda sana mambo ya magazeti, jamani kisa mtu amekufa hawezi kujitetea mtu anaongea utumbo. Wema ajifunze kilichompata mwenzake lulu, mi huwa wema simpendi jamani
 
kumbuka, lulu alishikiliwa jumamosi, asingeweza kupelekwa mahakamani kwasababu ilikua ni public holiday, jpili na jtatu, leo ndio anaweza kupelekwa huko mahakamani
Wanatakiwa kumpeleka mahakamani leo na kutangaza kuwa dhamana iko wazi kama ilivyokuwa ya Ditto...

Pia kumbuka kuna kesi ya uchaguzi pale Kigoma mjini iliamuliwa siku ya Ijumaa kuu
 
Ni masikitiko makubwa kwetu Watanzania kumpoteza balozi wetu kwenye tasnia ya Filamu. Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema akupumzishe kwa amani huko peponi, malaika wake wakulinde na Ibilisi ili siku ya mwisho tuweze kuonana tena juu mbinguni Mpendwa wetu Steve.
Kwa wenzetu walioweza kufika kutoa rambirambi zao kwenye familia hapo nyumbani kwa Marehemu wamewakilisha sisi ambao hatukuweza kupata fursa ya kufika hapo msibani, lakini nafsi zetu zinaungana nao kwenye kipindi hiki kigumu. Niipongeze pia Kamati ya Mazishi iliyowezesha ushawishi kwa familia kuzika mwili hapa DSM.
Niipongeze tena Serikali yetu tukufu ya awamu ya nne kwa ushiriki wake kwenye msiba huo na kubeba jukumu zima la mazishi ya shujaa wetu na mpendwa wetu kwa kweli ni ishara tosha kuwa Serikali yetu inajali sana shughuli za michezo.
Lakini pia uwepo wa makamu wa Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na viongozi wa juu Serikalini kwenye mazishi yatakayofanyika leo ni kielelezo kingine cha kuonyesha kujali na kushirikiana na wananchi kwenye Matatizo makubwa kama haya.
Mwisho limenijia swali GUMU sana ambalo nimeshindwa kupata jawabu lake nikaona niliunganishe hapa leo, hawa viongozi wetu wa kitaifa wameshiriki kwenye misiba yote mikubwa kuanzia ya Wabunge wetu wanaopoteza maisha.
Alivyofariki Gavana wa Benki kuu Mzee Balali ni kwa nini Serikali ilishindwa kuhudhuria mazishi yake au alikuwa na makosa ambayo hata Balozi wetu aliyeko Marekani kushindwa kumuwakilisha Raisi wetu? Kwa mwenye kuwa na upeo zaidi yangu anaweza kunisaidia.
Mwisho nawatakia wote mtakaoweza kwenda kushiriki mazishi, mtatuwakilisha nasi tupo pamoja.
BURIANI THE GREAT STEVEN KANUMBA

Nikukosoe hapo kwny serikali kujali filamu na sanaa kwa ujumla haijali hata kidogo,na ni kama unafiki na kuuza sura tu wanaofanya,kama watendaji wa serikali wangekua wanajali wangejitolea kuendeleza tasnia ya filamu tanzania,kwa kuhakikisha wasomi wa sanaa ya filamu wanajihusisha katika kutengeneza filamu,kwa kuwapa motisha,Tanzania filamu zinatengezwa na watu waliochoka kimaisha kwa hiyo tuntengenezewa madudu tu na kutuaibisha swahili chanel ya DSTV,namkubali Kanumba kwa sababu alifanya jitihada mwenyewe,alisimama peke yake na alijitahidi kujifunza na kubadilika,ingawa nae alifanya madudu kadhaa kwenye filamu zake,mfano subtitles.
 
it is very sad mtu anasubiriwa afe ndio watu waongee maujinga, hv hy wema kweli atakuwa network haikamati, why aseme maneno hayo halafu anapenda sana mambo ya magazeti, jamani kisa mtu amekufa hawezi kujitetea mtu anaongea utumbo. Wema ajifunze kilichompata mwenzake lulu, mi huwa wema simpendi jamani

Msemaji wake na manager(KADINDA) wake alikua wapi? Kwanin ajamsemea katika hilo?
 
katika hali isiyo ya kawaida kwa wale ambao wamesikia wimbo wa kanumba.katika wimbo ule kasema akifa watu mtasema nani pengo ataliziba.maadui wake watabeba jeneza lake. yeye ni mmoja hawezi pigana na watu 1000. je hii alijua atakufa?
So u don't know if u will die???
Are u a stone or what???
Stupid!!
 
wabongo bana. kazi kudis tu, we huoni makosa yako? em mwacheni mtu wa watu apumzike kwa amani mbona mna wivu nyie?
 
Wema ni teja la mapenzi hana jipya kwakuwa hadi leo diamond bado anammega,yule jamaa yake mwingine Jumbe naye bado anammega inshort anawashwawashwa sana chini
 
wabongo bana. kazi kudis tu, we huoni makosa yako? em mwacheni mtu wa watu apumzike kwa amani mbona mna wivu nyie?

Kuna mshambenga mwenzio kaambiwa atoe ushahidi...je ni wapi imeandikwa mtu akifa anakuwa kapumzika?

Sijamuona tena kurudi
 
We should never ever take Wema Sepetu Serious.
No wonder, kila kona anasemwa vibaya...

Hajui kwamba anajiharibia kuwa kusema maneno kaam hayo.
Sasa kesho atakuwaje mke wa mtu?

Probably she has insatiable desire for opposite sex!
 
nimeona Shibuda akisema eti yeye amemuwakilisha mzee Kanumba! Labda mzee hana nauli lakini si angekopa? maana haiingii akilini
 
Akili yake haijapevuka UNAMFAHAMU?
Watu msipende sana kujiongelesha. . .hapo mwenyewe ukute anawacheka mnavyomrudisha nyuma kiumri, kifikra na kiakili. Stop undermining the girl.
 
Back
Top Bottom