Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael (Lulu)

Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael (Lulu)

Kuna mshambenga mwenzio kaambiwa atoe ushahidi...je ni wapi imeandikwa mtu akifa anakuwa kapumzika?

Sijamuona tena kurudi
Tena nilikua namsubili kwa hamu alete andiko hilo kwamba mtu akifa atakua kapumzika lakini sijamuona tena!
 
R.I.P Kanumba,
kama alikumbuka neno la mwisho "Mungu nisamehe" atafika
kwa Mungu.

Mbona mnakuwa na hasira sana na marehemu,
hamutamwona tena milele, msameheni tu.
 
Wanatakiwa kumpeleka mahakamani leo na kutangaza kuwa dhamana iko wazi kama ilivyokuwa ya Ditto...

Pia kumbuka kuna kesi ya uchaguzi pale Kigoma mjini iliamuliwa siku ya Ijumaa kuu

Mpaka uchunguzi ukamilike ndio atapelekwa mahakamani ambapo ndipo mahakama itatamka kama ana kesi ya kujibu na kama anayo je kuua bila kukusudia au. Kama akipatiksna na shtaka la kuua bila kukusudia dhamani inakuwa wazi
 
katika hali isiyo ya kawaida kwa wale ambao wamesikia wimbo wa kanumba.katika wimbo ule kasema akifa watu mtasema nani pengo ataliziba.maadui wake watabeba jeneza lake. yeye ni mmoja hawezi pigana na watu 1000. je hii alijua atakufa?

GK naye aliimba wimbo wake "NITAKUFAJE", kwa mantiki hiyo ungemzungumziaje!
 
Akili yake haijapevuka UNAMFAHAMU?
Watu msipende sana kujiongelesha. . .hapo mwenyewe ukute anawacheka mnavyomrudisha nyuma kiumri, kifikra na kiakili. Stop undermining the girl.
halima mdee kasema kaona birth cert yake....she's only 17.......
 
Dead men don't count.

Ukalazwe popote apendapo Muumba.
 
Okada wanaume wagumu wako sehemu za kazi hawajakaa! angalia picha za juu! we are your queens remember? wanaume wamesimama. . halafu wanawake ni wengi! hata msiba wako wanawake ndo watakua wengi! ila hawatakuwa wengi kama wa kanumba pole! wanawake ndo tunaoguswa sana! biblia imeandikwa tuwalilie nyie! kubalini kanumba alikubalika na amekubalika akiwa marehemu mi si mpenzi wa movie! kanumba ameniuma na nimeaapreciate mazishi yake roho yangu imefarijika!


Umesema kweli....
 
unajuwa wenzetu wanavaa nguo nyeusi..sawa,lakini angalia na hali ya hewa ya kwao tofauti na kwetu,jua kali,miili inatweta kwa joto,hao wanajishow bila kutumia akili
 
Nimezisikia mtaani.

Eti wanasema .....

Kamjengea nyumba kimara.

Mwenye taarifa za ziada.
 
avatar33163_1.gif
 
tetesi ni za kweli. Wazee wetu NOUMARR. dah!
Ukitaka kuwakamata mateka 'wenye nchi' wa nchi hii ...INGILIA MLANGO WA NGONO, watapona watatu kati ya Elfu Moja.
 
Naomba kujua kama wapo msibani na ndugu wengine, hatuwezi jua pengine wangeoana hao Kanumba na Lulu.
 
Back
Top Bottom