Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael (Lulu)

Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael (Lulu)

katika historia ya Tz na hii ni mojawapo ya kesi ya mauaji ambayo upelelezi wake utachukua muda mfupi sana. Ila kwa makabwela nadhani upelelezi wake ungechukua miaka mitano.
 
Kimsingi mdau unaweza kuwa na hoja katika hilo. Hatahivyo, jeuri ya umaarufu waliyonayo wasinii wetu ndio tatizo kubwa. Binafsi nilishawahi kusoma makala mbalimbali za wachambuzi wa mambo kuhusiana na mwenendo mzima wa wasanii wetu. Mwenendo ambao mara nyingi kwa mtizamo wa wengi ni wa kuiharibu jamii kwa mambo mengi machafu yanayofanywa na wasanii wetu wa kibongo. Washauri wengi wa kujitolea walishawasihi sana wasanii wetu kuwa makini na miendendo yao kwa kuzingatia kuwa wao kioo cha jamii. Na kwa bahati mbaya sana, mashabiki wao wengi ni watoto na vijana(teenagers) ambao ni dhahiri kwamba wako kwenye nafasi kubwa ya kuiga kile wanachokiona kutoka kwao. Sasa katika moja ya ushauri waliokuwa wakipewa wasanii hawa, ni pamoja na kuhakikisha kwamba wawe wanaajiri ikibidi wataalamu wa masuala ya ushauri ili wawasaidie kuhimili vishindo vya umaarufu wanaoupata na hivyo umaarufu wao uwe na faida kwa jamii. Lakini wengi wameshindwa kufanya hivyo, wameishia kutafuta mameneja tu kwa lengo la kulinda maslahi ya kifedha tu. Kwahiyo, mimi sidhani kwamba serikali inaweza kulaumiwa kwa hilo maana kunua mambo ambayo ni wajibu wa mhusika kuyashughulikia kwa kutambua nafasi yake katika jamii.
 
Kuna mdau wangu wa karibu IKULU ameniambia kuwa kasikina ni katibu wa chama kilichounda serikali kivuli bungeni,
no one how! huenda ni kweli wanaJF
 
Waliosoma walipelekwa NGULDOTO kwa semina elekezi, na mabilioni ya pesa ya Watanzania yalipotea, na mwisho wa Yote wakina Malima wakaperfom pale Morogoro

sasa hao wasanii si ndio kupoteza Zaidi?
 
Tumechoka kila upitapo kanumba kanumba kanumba......jaman tuendelee na story zingine khaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Mwenzangu!!!!!!!!!!!! Ila kwa sasa hakuna story nyingine, magazeti, redioni, vijiwezi, kwenye daladala ukianzisha story za hivi ndo watu wanazishabikia tuipe muda tu itapita.
 
nawaomba clouds wamtafute lulu aingize vocal hiyo hapo juu

Masikini ka Lulu. Mbona mwaka huu wake, nakahurumia!!!! Basi kapewe vocol hii: Mimi naitwa Lulu Michael a.k. nipe mwenyewe, 2012 Dunia yako, Chaguo Lako: Chagua Kumuombea Lulu aonekane hana hatua, Chaguo Kumuombea Kanumba apumzike kwa amani.
 
Kweli watanzania tumefilisika kimawazo.Badala ya kujadili jinsi ya kuboresha huduma za afya,kilimo,elimu nk.tunajadili jinsi ya kuboresha wasanii,ovyo sana.Wapelekeni basi Ngurudoto.
Wakuu salaam,
Nimeshindwa kutoa pole mapema kwa msiba wa Kanumba kwa sababu bado nilikuwa natafakari nini cha kusema. Kwa ukweli mimi ni mmojawapo wa wapenzi wa Kanumba katika filamu na kwa ukweli nilikuwa naangalia filamu zake na JB tu! wengine hawakuwahi kunishawishi labda pastor Muamba akikemea mapepo.
Kilichonisukuma kutoa pole leo ni tafakuri kwamba tutapoteza wasanii wangapi kwa uzembe?
Nilikuwa na classmate wangu NELLY. alianza mziki hip hop akaishia kufa kwa kuchomwa kisu. Leo nimempoteza Kanumba, Mr Nice kafulia hadi hatamaniki, Wema yeye ni vurugu usiku na mchana, Sinta alijiuza hadi akachokwa na sasa Lulu yuko lupango! Wasanii wetu wanaamini saa zingine kwenye umaarufu wa kuleteana mabifu! Nashindwa kuelewa kama bifu la Kanumba na Lulu lililopelekea msiba lilikuwa la kujenga umaarufu au ni lakweli!
Shida kubwa ni wasanii wetu kutokuandaliwa kuwa ma -SUPERSTARS. hatuwaandai kukabiliana na changamoto za jamii, hatuwaandai kwenye maisha bila kujulikana hadi kujulikana na wakati mwingine unakuwa maarufu sana lakini mfukoni huna kitu. Hatuwaandai kuwa mfano tunawaandaa kuwa kero. Leo Matunzo mabovu ya lulu yamemfikisha hapo alipo. Lakini kosa sio la lulu bali ni kosa la jamii! Lulu aanaamini kwamba kuwa mzuri ni kutembea uchi, Kanumba aliamini kuwa Star ni kutembea na wanawake wazuri wote! Jana WEMA leo Lulu kesho...?
Majanga kwa wasanii hayataisha tusipojipanga tutawapoteza wengi ama kwa kifo ama kwa magereza!

MYTAKE: Inatakiwa ijengwe shule (AMA BAGAMOYO INGEWEZA KUWA MAHALI SAHIHI) KWA AJILI YA WASANII WETU KUANDALIWA. HUKO WANGEJENGWA KISAIKOLOJIA NA PENGINE FAMILIA MASKINI WALIZOTOKA ZINGEWEZA KUFAIDI MATUNDA YA WATOTO WAO.

POLENI SANA KWA MSIBA WATANZANIA WOTE.
 
[.... kuwa Star ni kutembea na wanawake wazuri wote!......]


Mpingauonevu you really said it after a deep reflection on the mentaliry, priorities and affairs sorrounding our "stars"! Tena bifu zenyewe wanajengeana sio ktk mashindano ya mambo ya kimaendeleo bali ktk ubishoo usio na tija. Mfano, hadi mauti ya Kanumba inamkuta ni dhahiri hakuwa ktk good terms na Ray na msingi wake ni hayo hayo mashindano ya kilimbukeni: huyu akichukua demu maarufu mwenzake anataka apite hapo hapo; huyu akitaka kupita huku mwenzake anaona lazima afanye hilo kabla yake. Hatimaye kifo cha staa Kanumba ambaye kuna baadhi wameamua kumuita "The Great" kimesababishwa na mashindano hayo hayo yasiyo na tija: ALIKUFA AKIMPIGANIA LULU ASITOKE NA HUYO MSANII MWAINGINE (GIZANI)! Haya ndo maswali magumu watu wanajiuliza sasa:
1. Kanumba with all his fame now merriting being called "The Great", was Lulu really worthy fighting for?
2. Who was the other guy that Lulu chose to go out with and part company with Kanumba?

My take:
Kwa nini watu hawamjadili huyu (msababishi halisi wa kifo cha Kanumba) aliyembadilisha mawazo Lulu akiwa tayari kwa Kanumba saa sita usiku aamue kumpiga chini Hollywood Star at any expence? NI NANI HUYO??????
 
шNaskia anadai kuwa bado ana bik%.-.$ na kwamba hajawahi kukutana na kidume chochote
 
Ile ya marehemu ilikuwa ni raha? na kwa kuwa movie bado inaendelea basi wahamie upande wa lulu sasa, maana kipande cha marehemu mchezo wake uliisha mara baada ya mazishi yake, hila lulu movie yake bado inaendelea.

Ni vizuri wakamsaidia na siyo kutoa hukumu ikiwa bado mahakama haijatoa hukumu.
 
224960_126471244096505_100002008907798_183410_2770049_n.jpg


Muigizaji wa Filamu nchini anaehusishwa na kifo cha Muigizaji Mwenzie, Marehemu Steven Kanumba,Elizabeth Michael a.k.a Lulu amepandishwa kizimbani mapema leo asubuhi kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es Salaam kwa kusomewa mashtaka yake kuhusiana na kuhusika kwa kifo cha Muigizaji huyo nguli hapa nchini.

Elizabeth Michael amesomewa mashtaka hayo mbele ya hakimu Agustino Mmbando na wakili Elizabeth Kaganda ya mauaji ya Muigizaji wa Filamu nchini,Marehemu Steven Kanumba yaliyotokea huko sinza vatcan jijini Dar es Salaam april 7 mwaka huu.

Elizabeth Hakutakiwa kujibu chochote Mahakamani hapo kwani mahakama hii haina mamlaka ya kusikiliza kesi za mauaji.

Kesi hiyo imeahirishwa na kupangwa kusikilizwa tena april 23 mwaka huu.

Muigizaji huyo aliletwa mahakamani hapo kwa mwendo wa kasi kama mshale na kwa ulinzi mkali na pia ndivyo alivyoondolewa Mahakamani hapo kiasi kwamba hakuna hata mwandishi alieweza kupata picha ya Muigizaji huyo mwenye tuhuma za mauaji Na kupandishwa katika gari ndogo nyeupe aina ya suzuki grand vitara yenye nambari za usajiri T 848 BNV huku kwenye kioo nambari zake zikisomeka PT 2565.

 
Msanii maarufu wa filamu hapa nchini, Elizabeth Michael ‘Lulu’ leo amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu jijini Dar es Salaam na kusomewa shitaka la mauaji.

Lulu alipandishwa kizimbani kwa usiri mkubwa akitokea Kituo cha Polisi cha Oysterbay alikokuwa akishikiliwa na kupandishwa kizimbani moja kwa moja bila kuwekwa mahabusu ya mahakama hiyo kama iwavyo kwa washitakiwa wengine wanaosubiri kusomewa kesi zao.

Baada ya kupandishwa kizambani alisomewa shitaka lake na Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama hiyo, Elizabeth Kaganda ambapo alisema Mnamo Aprili 7 mwaka huu majira ya saa saba za usiku maeneo ya Sinza Vatican jijini Dar es Salaam Elizabeth Michael (18) alimuua Steven Kanumba. Katika kesi hiyo mshitakiwa hakutakiwa kujibu lolote isipokuwa alinyoosha kidole na kupinga umri uliotajwa kuwa ana miaka 18 na kusema umri wake ni miaka 17. Baada ya kusomewa shitaka hilo, Lulu alipelekwa gerezani Segerea na kesi yake itasikilizwa tena aprili 23 mwaka huu.
 
sasa umeongea nini? kuhongwa si kupewa! ina maana ni lake,! usiwe na hasira mkuu kama hujapata wa kukuhonga, jaribu bado muda, unaweza hongwa hata guta!

Hapana, vi sista duh vikihongwa magari hupewa funguo tu, siyo kadi
 
mdogo wake alikuwa mwepesi sana kumsukumia lawama Lulu kwanini asione ya kuwa kaka yake ameanguka tu kutokana na afya yake kuwa ina mushkeli. mdogo mtu anatupotosha kwa kudai kanumba hakuwa mgonjwa..........sasa zile hiv cocktail alizokuwa akizitumia......for more than a year zilikuwa ni za nini?

Yule daktari wake aliyekuwa anamtafutia madawa bila ya kumweleza madhara ya pombe mbona hachukuliwi hatua. Polisi wamekubali maelezo ya kaka wa marehemu kwa dhana potofu kuwa hawezi kumdhuru kaka
yake............now we know better that Lulu is innocent should be free with monetary compensation kwa kumchafulia jina na usumbufu kibao.........

Come again. . hili la hiv tabs linapatikana thread gani? mbona limenipita!
 
Mamboo hayooo...tusikilizie joto ya jiweee...Alisema mwenyewe kwenye kipindi cha mikasi na DADA-Salama KWAMBA ANAMIAKA 18 NA AKAFANYA BIRTHDAY YA KUTIMIZA MIAKA YA KUINGIA CLUB aka DISCO....inakuwaje leo ananyanyua kidole kukataa umri wakeeeee....masaburi yake ...:embarassed2::smash:
 
Back
Top Bottom