Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
шNaskia anadai kuwa bado ana bik%.-.$ na kwamba hajawahi kukutana na kidume chochote
Wewe ulisikia wapi kesi ya mauaji ina dhamana?hivi mambo ya dhamana hayakuzungumzwa?
hakika ni contradiction...cheti nifake au halali? Je umri ukiwa juu au chini inaondoa kosa?Credibility yake haipo,alishawahi kutanganza ana 18yrs,leo anakana.Hivyo basi anaweza kudanganya kuwa hakuua.Sheria itake mkondo wake.
aliulilia ukubwa na kaupata kwa kishindoKazi Hiyo. Mapenzi! Mapenzi! Mapenzi! Umefanya nini mtoto ameacha kwenda shule anapenda umaarufu kwa kutembea na Ma------------shee. Wamechie aende shule. Sijui kama amesoma.
Wewe ulisikia wapi kesi ya mauaji ina dhamana?
Mamboo hayooo...tusikilizie joto ya jiweee...Alisema mwenyewe kwenye kipindi cha mikasi na DADA-Salama KWAMBA ANAMIAKA 18 NA AKAFANYA BIRTHDAY YA KUTIMIZA MIAKA YA KUINGIA CLUB aka DISCO....inakuwaje leo ananyanyua kidole kukataa umri wakeeeee....masaburi yake ...:embarassed2::smash:
Huyo binti alitaka sana kupata umaarufu kwa njia yoyote. Ameupata sasa. Muaji wa Kanumba hata kama hakumwua!
hivi mambo ya dhamana hayakuzungumzwa?
Alisikia Kenya!
Jalada la kesi yako likiwa la plastic (nasikia ndio majalada ya kesi za mauaji yalivyo) dhamana nduhu, hakuna, not allowable! Nasikitika binti Mdogo hivi kwenda kunyea debe.
aliulilia ukubwa na kaupata kwa kishindo