Kifo cha Tabibu Dkt. Buberwa wa Herbal Products utata mtupu

Kifo cha Tabibu Dkt. Buberwa wa Herbal Products utata mtupu

Amefariki kifo cha upweke sana kama vile hakuwa na mchango wowote . Mke wake huyu mmachame is a cold hearted bih, huyo mtoto wake wa kike wa mwisho amezaa na bwana wa shosti yake ambaye pia ni Jirani, pia alimfukuza dr nyumbani kwake tangia alivyoanza kuumwa.
Mazishi yenyewe yalikua bora liende....

Asante kwa mrejesho huu. yatakuwa katika updates nyingine
 
Nimefurahi michango yako katika hili suala. Aidha itakuwa vyema tukitafakari na kutafakuri hizi picha za harusi yao. Hapa hatuwezi jifunza kitu? Mfano katika picha hii, wewe unaona kuna usawa wa kijinsia ambao tumeuzoea? Au (the so called Dr) Buberwa alikuwa marioo?View attachment 1842909
Watu mnajua kufukunyua! Yaani ukubwa wa umbo nao ni issue, si umri. Sasa kama bibie aliolewa akiwa mama kijacho je?
 
Wrong again.

Kwanza nikurekebishe mtazamo wako kuhusu maisha. Maisha ni UTU kwanza mali ni jambo la nyakati na ni auxiliary element ya maisha. Ulichokisema hicho cha 'wealth is the only thing that can relatively make human life.........' hiyo ni biased perception ya maisha na ni matokeo ya bad experience za watu katika maisha.

Its okay kutafuta mali , kuwa na mali na kuzimiliki ila ikifika moment unaweka rehani utu wako na utu,furaha na uhai wa mwenzako ili kuvipata hivyo then wewe huna unalolijua kuhusu maisha na utakuja kuelewa umri ukishaenda.
Nimekupenda kwa ujengaji wa hoja zenye matinki. Vijana wengi wameishia magerezani na kupoteza kazi za vipato vizuri kwa kuwaendekeza wake wa sampuli ulizozitaja. Hongera sana kwa kujitambua.
 
Mrejesho no 1

Tukio lenyewe liko hivi.

Huyo Dr Buberwa aliingia msukosuko na mkewe huyo Riziki baada ya familia kuingilia kati juu ya mambo ya mali maana alikuwa na watoto 3 wa kike kwa huyo dada Riziki na mtoto mkubwa wa kiume mkubwa aliyekutwa wakati anaolewa.

Ilikuja kubainika kuwa huyo Dr buberwa mali zote ikiwemo maduka ya dawa, nyumba zote za Dar na huko kwao ukweni walikokuwa wamejenga zilkuwa kwa jina la mke huyo.

Tangu day one huyo mama anaolewa alikuwa na one mission ya mali na kumfilisi huyo dr.

Huyo mwanamke alikimbilia mahakamani kuonesha vielelezo baada ya ndugu kuchachamaa. Mahakama ilitoa hukumu na kuonesha Dr buberwa hakuwa na kitu chochote bali usajili wa kampuni ambaye naye huyo mama ana hisa ndani.

Hivyo Dr buberwa alifukuzwa hata kwa nyumba akaanza maisha mapya kupanga. Aliishi kwa msaada wa ndugu na akaanza kuzunguka mikoani kutoa huduma mbalimbali.

Alianza kubadili huduma ikiwemo kuuza bidhaa za ulinzi kama cctv camera nk pamoja na mambo ya unabii.

Baadaye alianza kuugua magonjwa mbalimbali hadi kukatwa mguu mmoja. sijui chanzo cha ugonjwa uliosababisha ukatwe ila inasemekana ni kansa.

Kutokana na kuangaika mikoa mbalimbali mauti yalimkuta akiwa guest dodoma ambapo haijulikani kama aliuawa,alijiua au alikufa kifo cha kawaida. wahudumu walikuja kushtukia mteja wao hafungui mwishowe ikabanika amekufa.

Sasa ndugu walipopata taarifa walimtafuta mkewe naye akasema anazo taarifa. Wakakubaliana kuwa kwa kuwa maiti iko dodoma basi wapitie maiti waipeleke Bukoba direct kuzika.

Dadake na marehemu aitwaye Jen na ndg wengine walianza safari kuelekea dodoma lakini walipofika wakaambiwa maiti imechukuliwa na mkewe kwenda Dar.

Mzozo ulianza lakini hawa ndg walipitiliza hadi Bukoba huku mke akisema ameipeleka kwake ili aagwe then watarudisha mwili bukoba.

Huyu dada alianza visa na visa na mwishowe akashirikiana na mdogo wake na marehemu wa kiume wakazika huko dar.

Kule Bukoba wakasubiri wapeleke udongo ( kulingana na taratibu za mila zao) pamoja na watoto lakini udongo ulitumwa lakini huyo mama na watoto hawakwenda.

Ilikuja kubainika kuwa hadi mauti yanamkuta marehemu alishakuwa maskini wa kutupwa na hata yule kijana mkubwa alikuwa anaishi kwa huyo riziki hana chochote kile kutoka kwa baba.

Hitimisho.
Tutumie tukio hili kuishi vema na wake zetu siyo kwa kuwa huyu alikuwa mchaga bali dunia ya tamaa za mali imeongezeka sana.

Asante
Pathetic
 
Mbona sura yake inaonyesha ni mtu aliyekuwa na maradhi sugu kama sio ukimwi ni kisukari
Katika maelezo yake ya tiba kwenye TV alitamka kabisa kuwa ana Kisukari na alionekana kuchoka kabisa. Msimsingizie huyo mke. Ila nimesikitika sana
 
Huyu jamaa ana ofisi pale Ubungo Plaza ground floor.

Ila afya yake ilikuwa dhoofu wakati naonana nae mwaka 2019
Alianza kudhoofika miaka mingi Sana. Mimi Nikajiukiza yeye ni bingwa wa magonjwa mpaka sukari mbona hakujitibu. Yaani ilikuwa ukimuangalia unaona kabisa kuwa si nzima. Sasa ukichanganya na 3rd wevu ukikuta na udhaifu ndiyo unadondoka hata maji huombi. Acheni kumlaumu huyo mke na kama walishatengana muda kila mmoja alikuwa na maisha yake.
 
Ila wanaume wengine mafala sana, unathubutu kuandika hati za Mali zako kwa mkewe, ndo k m tu inawalewesha ivo

Ndoa ni ngumu sana jomba. kama hujaingia subiri utajionea.
 
Hakuna utata amekufa amezikwa, mke kaamua kufanya kufuatana na vile, walikuwa wakiambiana kitandani, chumba cha wanandoa.

Mali, ni za kwao, watoto watafute vyao.
Wanandugu watafute vyao, huyo marehemu aliwajua ndugu zake, ndiyo maana aliandika maji na ya mke.
Kazi iendelee...

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Hakuna utata amekufa amezikwa, mke kaamua kufanya kufuatana na vile, walikuwa wakiambiana kitandani, chumba cha wanandoa.

Mali, ni za kwao, watoto watafute vyao.
Wanandugu watafute vyao, huyo marehemu aliwajua ndugu zake, ndiyo maana aliandika maji na ya mke.
Kazi iendelee...

Everyday is Saturday............................... 😎

Tutumie hili jambo kujifunza na kubadili mienendo ya maisha

asante
 
Nimesikitika sana kuona mwisho wa kusikitisha wa Dr Buberwa. A talented man. Alikuwa mwongeaji mzuri sana nadhani pia mwandishi mzuri na mtafiti wa dawa za asili.
Nilimfahamu kupitia matangazo ya dawa zake kwenye luninga TV. Baadaye niliona mahubili yake kwenye TV pia. Nimeguswa na kifo chake na story zote. Apumzike kwa amani.
 
Kweli mkuu aliwahi kusema wazi kuwa ana kisukari na kudai kuwa moja ya dawa zake inatibu kisukari lakini yeye anataka ajifunze madhara ya kisukari hatajitibu.

Pia alijiita nabii kwa kutabiri mwisho wa dunia kimahesabu, hesabu zilizoangukia mwisho kuwa 2037 hivi..!
Na ulikubali hayo maelezo?
 
unaoa mchanga HALAFUBUSEME UNAMKE...??
ana kuuwa anabaki na PESA
 
Back
Top Bottom