Kifo cha Tabibu Dkt. Buberwa wa Herbal Products utata mtupu


Asante kwa mrejesho huu. yatakuwa katika updates nyingine
 
Watu mnajua kufukunyua! Yaani ukubwa wa umbo nao ni issue, si umri. Sasa kama bibie aliolewa akiwa mama kijacho je?
 
Nimekupenda kwa ujengaji wa hoja zenye matinki. Vijana wengi wameishia magerezani na kupoteza kazi za vipato vizuri kwa kuwaendekeza wake wa sampuli ulizozitaja. Hongera sana kwa kujitambua.
 
Pathetic
 
Mbona sura yake inaonyesha ni mtu aliyekuwa na maradhi sugu kama sio ukimwi ni kisukari
Katika maelezo yake ya tiba kwenye TV alitamka kabisa kuwa ana Kisukari na alionekana kuchoka kabisa. Msimsingizie huyo mke. Ila nimesikitika sana
 
Huyu jamaa ana ofisi pale Ubungo Plaza ground floor.

Ila afya yake ilikuwa dhoofu wakati naonana nae mwaka 2019
Alianza kudhoofika miaka mingi Sana. Mimi Nikajiukiza yeye ni bingwa wa magonjwa mpaka sukari mbona hakujitibu. Yaani ilikuwa ukimuangalia unaona kabisa kuwa si nzima. Sasa ukichanganya na 3rd wevu ukikuta na udhaifu ndiyo unadondoka hata maji huombi. Acheni kumlaumu huyo mke na kama walishatengana muda kila mmoja alikuwa na maisha yake.
 
Ila wanaume wengine mafala sana, unathubutu kuandika hati za Mali zako kwa mkewe, ndo k m tu inawalewesha ivo

Ndoa ni ngumu sana jomba. kama hujaingia subiri utajionea.
 
Hakuna utata amekufa amezikwa, mke kaamua kufanya kufuatana na vile, walikuwa wakiambiana kitandani, chumba cha wanandoa.

Mali, ni za kwao, watoto watafute vyao.
Wanandugu watafute vyao, huyo marehemu aliwajua ndugu zake, ndiyo maana aliandika maji na ya mke.
Kazi iendelee...

Everyday is Saturday............................... 😎
 

Tutumie hili jambo kujifunza na kubadili mienendo ya maisha

asante
 
Nimesikitika sana kuona mwisho wa kusikitisha wa Dr Buberwa. A talented man. Alikuwa mwongeaji mzuri sana nadhani pia mwandishi mzuri na mtafiti wa dawa za asili.
Nilimfahamu kupitia matangazo ya dawa zake kwenye luninga TV. Baadaye niliona mahubili yake kwenye TV pia. Nimeguswa na kifo chake na story zote. Apumzike kwa amani.
 
Na ulikubali hayo maelezo?
 
unaoa mchanga HALAFUBUSEME UNAMKE...??
ana kuuwa anabaki na PESA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…