Kifo cha Tabibu Dkt. Buberwa wa Herbal Products utata mtupu

Kumbe huyo mkewe marehemu Riziki anatoka KILIMANJARO?
 
Ukiangalia kiundani hii stori unaweza kukuta mwanaume ndio mwenye tatizo kwamba alimpenda sana mke wake na tatizo lilianza alipopata sukari ina maana alikua hawezi kumtafuna vizuri mke wake kupelekea mgogoro katika ndoa mpaka kutengana sasa mjomba akawa frustrated kupelekea kushindwa kusimamia biashara yake
 
Hapana, jamaa kuna program aliiunda na kuwekeza kiasi kikubwa huko ila mwisho wa siku serikali ndio ikaja kumzingua ndio chanzo cha kuyumba kiuchumi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…