Kifo cha Ulomi: Taarifa ya Polisi imezua maswali magumu na mabaya. Haya hapa baadhi...

Jamani kwa kweli huku tulipofika ni Mungu tu atusaidie, Mwenyezi Mungu ampumzishe mahali pema na Faraja itokayo kwake iambatane na familia yake. Wakati mgumu sana huu kwao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…