Kifo cha Ulomi: Taarifa ya Polisi imezua maswali magumu na mabaya. Haya hapa baadhi...

Kifo cha Ulomi: Taarifa ya Polisi imezua maswali magumu na mabaya. Haya hapa baadhi...

Nimejipiga mara nne, nimeongeza Moja kama bonus kwako. Ajabu ni kuwa Kila nikitaka kitamka hivyo sauti inayotoka na kusikiwa na watu ni, 'determinator ni mpumbavu'. Kwahiyo nimeshindwa kukusaidia, pole.
Mpwa, Tumshukuru MUNGU siku imeisha salama hatujatekwa! Mwenyezi MUNGU awabariki wote na Kesho pia ni siku. Zaburi ya 23
 
Maswali ya kufikirisha:-
1. Maswala ya forodha hufanywa na clearing agent, kwanini Ulomi apigiwe simu Moja kwa moja na asipigiwe clearing agent wake kwenda kukagua container? Polisi na TRA Tanzania watupe ukweli
Mkuu muda mwingine kodi inapokua kubwa mwenye mzigo anatafuta nafuu ya kulipia huo mzigo kwa kupitia hizo njia nadhani wa Ilemi umeelewa Agent anatumika kujaza kila kitu mpaka kwenye hatua ya malipo ila kabla hapo Wasizwa wanakaa kuweka mazingira mazuri ya kodi nafuu..
 
WATOA TAARIFA NDIYO HAWA na "SISITIVII".

1734378536351.png
 
Mmmm dunia hii jamani tunakoipeleka, sijui turudi kwenye asili maana mambo yakizungu yametushinda
 
Wameandika report ya ajabu mno mno! Kwamba alikua anaenda bandari kavu bila kua na taarifa yoyote ile? Nitakua wa mwisho kuamini hil

Naomba nianze na taarifa yenyewe.

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limesema kuwa Daisle Simion Ulomi, aliyekuwa ameripotiwa kwamba amepotea, alifariki dunia baada ya kupata ajali mbaya na pikipiki aliyokuwa akiitumia siku ya Desemba 11, 2024.

Taarifa hiyo imetolewa leo Desemba 16, 2024 na Kamanda wa Polisi wa Kanda hiyo SACP Jumanne Muliro ambapo ameeleza kuwa tarehe 11 Desemba, 2024 Jeshi hilo lilipata taarifa ya kupotea kwake na ndugu hawakuwa wanampata kwenye mawasiliano ya simu, baada ya yeye kuondoka ofisini kwake Sinza na kudai anaelekea Temeke kufuatilia makontena yake ya biashara.

"Ulomi aliondoka eneo lake huku akitumia pikipiki namba MC 415 DQC aliyokuwa akiendesha mwenyewe, ufuatiliaji umefanyika kwa kushirikiana na ndugu na kubainika kuwa Ulomi alipelekwa kituo cha afya cha Makuburi Ubungo External mchana wa tarehe 11 Desemba, 2024 baada ya kupata ajali mbaya na pikipiki aliyokuwa akiitumia, wasamaria wema walimsadia kumpeleka kwenye kituo hicho akiwa hajitambui na hakuwa na kitambulisho chochote," imeeleza taarifa ya Kamanda Muliro.

Aidha taarifa hiyo imeeleza kuwa, " Baadae alipelekwa Mwananyamala hospitali na ikabainika tayari alikuwa amefariki na maiti yake kuhifadhiwa kwenye chumba cha kuhifadhia maiti cha hospitali hiyo kama mtu asiyefahamika akisubiri kutambuliwa na ndugu, ndugu tayari wameutambua mwili huo ukiwa na majeraha maeneo mbalimbali ya mwili. Aidha, Pikipiki aliyopata nayo ajali pia imepatikana ikiwa imeharibika. uchunguzi zaidi wa ajali hiyo unaendelea na taarifa zaidi itatolewa,".

#EastAfricaRadio

Maswali
Kwahio Afisa wa TRA ni kweli alipiga simu? Ni kweli kulikua na mawasiliano kati yake na Afisa wa TRA? Mbona baada ya "Afisa wa TRA" kumkosa (maana hakufika alikoitwa) hakuchukua hatua Yoyote ya kumpata "mteja" wake? Iko wapi simu ya Ulomi? Nani hasa alimpigia Ulomi kwenda bandari kavu? Mawasiliano ya mwisho ilikua chang'ombe, hapo jirani kuna hospital ya Temeke, why apelekwe Makuburi External?

Kwa maswali haya, Polisi wanakua Kwenye nafasi nzuri ya kujibu, wapi Ajali ilitokea, namna Ajali ilivyotokea (kugongwa au kugonga au kuanguka mwenyewe), huyu msamaria mwema ni nani hasa? Alitumia usafiri gani kumfikisha "Makuburi health Centre?"! Kutoka Makuburi (Ubungo) Hadi Mwananyamala kuna hospital kadhaa, mojawapo ikiwa ni Sinza Palestine, ambayo ina uwezo pia WA kupokea maiti, why wafunge safari ndefu Hadi Mwananyamala?

PIA SOMA
- TANZIA - Mwili wa Ulomi, Mfanyabiashara aliyedaiwa kupotea wakutwa mochwari Mwananyamala

Kama Polisi ndio walioupeleka mwili Huko, mbona hawakutoa taarifa kwa umma, na mitandao yote iliandika kuhusu kupotea kwa Ulomi? YAANI Polisi walikaa na taarifa Hii Hadi "alipopatikana" kwenye mafriji ya Mwananyamala.

Kama Polisi Wanakiri kuwa Ulomi hakua na Kitambulisho, LAKINI si alikua na Bodaboda "iliyopata Ajali"? Walishindwaje kuangalia usajili WA Bodaboda Kwenye mfumo wa TRA na kumtambua mmiliki? Ina maana angezikwa na Manispaa kwa kua hakua na Kitambulisho?

Kwangu Mimi hii taarifa imenipa mashaka Sana kuliko majibu.

View attachment 3178202
Polisi wana kazi ngumu sana na kutunga cinema. Wanasiasa wabaya sana
 
Eti alipelekwa mochwari tarehe 11 ila Polisi walikuwa hawajui hadi leo ndio wamejua, huku ndugu zake wakipita humo humo kumtafuta bila mafanikio!

Muliro usitufanye wananchi ni Wajinga kiasi hicho
Kama polisi wameshindwa kujua jambo dogo kama hilo basi hatupo salama kama wanavosema tanzania ni shwari

Pia hakuna ushirikiano kati ya vyombo vya ulinzi na usalama kama kujua mtu alipata ajari tena mabibo siku 4 haijikani?
 
Inasikitisha.
Hata pikipiki yake ilishindwa kutambulika baada ya ajali? Maswali ni mengi

Na ilipata ajali hewani? lakini kama ana makandokando mengine, ajali za hewani zipo nyingi sana. Siku hizi vijana wanataka kuwahi fasta kwenye maisha na baadhi wako tayari kufanya lolote.
Na ukifanya lolote lazima ujiandae kwa lolote. Maana lolote ni mtu wa hovyo sana. hana upande wala urafiki
 
Naomba nianze na taarifa yenyewe.

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limesema kuwa Daisle Simion Ulomi, aliyekuwa ameripotiwa kwamba amepotea, alifariki dunia baada ya kupata ajali mbaya na pikipiki aliyokuwa akiitumia siku ya Desemba 11, 2024.

Taarifa hiyo imetolewa leo Desemba 16, 2024 na Kamanda wa Polisi wa Kanda hiyo SACP Jumanne Muliro ambapo ameeleza kuwa tarehe 11 Desemba, 2024 Jeshi hilo lilipata taarifa ya kupotea kwake na ndugu hawakuwa wanampata kwenye mawasiliano ya simu, baada ya yeye kuondoka ofisini kwake Sinza na kudai anaelekea Temeke kufuatilia makontena yake ya biashara.

"Ulomi aliondoka eneo lake huku akitumia pikipiki namba MC 415 DQC aliyokuwa akiendesha mwenyewe, ufuatiliaji umefanyika kwa kushirikiana na ndugu na kubainika kuwa Ulomi alipelekwa kituo cha afya cha Makuburi Ubungo External mchana wa tarehe 11 Desemba, 2024 baada ya kupata ajali mbaya na pikipiki aliyokuwa akiitumia, wasamaria wema walimsadia kumpeleka kwenye kituo hicho akiwa hajitambui na hakuwa na kitambulisho chochote," imeeleza taarifa ya Kamanda Muliro.

Aidha taarifa hiyo imeeleza kuwa, " Baadae alipelekwa Mwananyamala hospitali na ikabainika tayari alikuwa amefariki na maiti yake kuhifadhiwa kwenye chumba cha kuhifadhia maiti cha hospitali hiyo kama mtu asiyefahamika akisubiri kutambuliwa na ndugu, ndugu tayari wameutambua mwili huo ukiwa na majeraha maeneo mbalimbali ya mwili. Aidha, Pikipiki aliyopata nayo ajali pia imepatikana ikiwa imeharibika. uchunguzi zaidi wa ajali hiyo unaendelea na taarifa zaidi itatolewa,".

#EastAfricaRadio

Maswali
Kwahio Afisa wa TRA ni kweli alipiga simu? Ni kweli kulikua na mawasiliano kati yake na Afisa wa TRA? Mbona baada ya "Afisa wa TRA" kumkosa (maana hakufika alikoitwa) hakuchukua hatua Yoyote ya kumpata "mteja" wake? Iko wapi simu ya Ulomi? Nani hasa alimpigia Ulomi kwenda bandari kavu? Mawasiliano ya mwisho ilikua chang'ombe, hapo jirani kuna hospital ya Temeke, why apelekwe Makuburi External?

Kwa maswali haya, Polisi wanakua Kwenye nafasi nzuri ya kujibu, wapi Ajali ilitokea, namna Ajali ilivyotokea (kugongwa au kugonga au kuanguka mwenyewe), huyu msamaria mwema ni nani hasa? Alitumia usafiri gani kumfikisha "Makuburi health Centre?"! Kutoka Makuburi (Ubungo) Hadi Mwananyamala kuna hospital kadhaa, mojawapo ikiwa ni Sinza Palestine, ambayo ina uwezo pia WA kupokea maiti, why wafunge safari ndefu Hadi Mwananyamala?

PIA SOMA
- TANZIA - Mwili wa Ulomi, Mfanyabiashara aliyedaiwa kupotea wakutwa mochwari Mwananyamala

Kama Polisi ndio walioupeleka mwili Huko, mbona hawakutoa taarifa kwa umma, na mitandao yote iliandika kuhusu kupotea kwa Ulomi? YAANI Polisi walikaa na taarifa Hii Hadi "alipopatikana" kwenye mafriji ya Mwananyamala.

Kama Polisi Wanakiri kuwa Ulomi hakua na Kitambulisho, LAKINI si alikua na Bodaboda "iliyopata Ajali"? Walishindwaje kuangalia usajili WA Bodaboda Kwenye mfumo wa TRA na kumtambua mmiliki? Ina maana angezikwa na Manispaa kwa kua hakua na Kitambulisho?

Kwangu Mimi hii taarifa imenipa mashaka Sana kuliko majibu.

View attachment 3178202
Huyu naye ni mchaga!?
 
Naomba nianze na taarifa yenyewe.

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limesema kuwa Daisle Simion Ulomi, aliyekuwa ameripotiwa kwamba amepotea, alifariki dunia baada ya kupata ajali mbaya na pikipiki aliyokuwa akiitumia siku ya Desemba 11, 2024.

Taarifa hiyo imetolewa leo Desemba 16, 2024 na Kamanda wa Polisi wa Kanda hiyo SACP Jumanne Muliro ambapo ameeleza kuwa tarehe 11 Desemba, 2024 Jeshi hilo lilipata taarifa ya kupotea kwake na ndugu hawakuwa wanampata kwenye mawasiliano ya simu, baada ya yeye kuondoka ofisini kwake Sinza na kudai anaelekea Temeke kufuatilia makontena yake ya biashara.

"Ulomi aliondoka eneo lake huku akitumia pikipiki namba MC 415 DQC aliyokuwa akiendesha mwenyewe, ufuatiliaji umefanyika kwa kushirikiana na ndugu na kubainika kuwa Ulomi alipelekwa kituo cha afya cha Makuburi Ubungo External mchana wa tarehe 11 Desemba, 2024 baada ya kupata ajali mbaya na pikipiki aliyokuwa akiitumia, wasamaria wema walimsadia kumpeleka kwenye kituo hicho akiwa hajitambui na hakuwa na kitambulisho chochote," imeeleza taarifa ya Kamanda Muliro.

Aidha taarifa hiyo imeeleza kuwa, " Baadae alipelekwa Mwananyamala hospitali na ikabainika tayari alikuwa amefariki na maiti yake kuhifadhiwa kwenye chumba cha kuhifadhia maiti cha hospitali hiyo kama mtu asiyefahamika akisubiri kutambuliwa na ndugu, ndugu tayari wameutambua mwili huo ukiwa na majeraha maeneo mbalimbali ya mwili. Aidha, Pikipiki aliyopata nayo ajali pia imepatikana ikiwa imeharibika. uchunguzi zaidi wa ajali hiyo unaendelea na taarifa zaidi itatolewa,".

#EastAfricaRadio

Maswali
Kwahio Afisa wa TRA ni kweli alipiga simu? Ni kweli kulikua na mawasiliano kati yake na Afisa wa TRA? Mbona baada ya "Afisa wa TRA" kumkosa (maana hakufika alikoitwa) hakuchukua hatua Yoyote ya kumpata "mteja" wake? Iko wapi simu ya Ulomi? Nani hasa alimpigia Ulomi kwenda bandari kavu? Mawasiliano ya mwisho ilikua chang'ombe, hapo jirani kuna hospital ya Temeke, why apelekwe Makuburi External?

Kwa maswali haya, Polisi wanakua Kwenye nafasi nzuri ya kujibu, wapi Ajali ilitokea, namna Ajali ilivyotokea (kugongwa au kugonga au kuanguka mwenyewe), huyu msamaria mwema ni nani hasa? Alitumia usafiri gani kumfikisha "Makuburi health Centre?"! Kutoka Makuburi (Ubungo) Hadi Mwananyamala kuna hospital kadhaa, mojawapo ikiwa ni Sinza Palestine, ambayo ina uwezo pia WA kupokea maiti, why wafunge safari ndefu Hadi Mwananyamala?

PIA SOMA
- TANZIA - Mwili wa Ulomi, Mfanyabiashara aliyedaiwa kupotea wakutwa mochwari Mwananyamala

Kama Polisi ndio walioupeleka mwili Huko, mbona hawakutoa taarifa kwa umma, na mitandao yote iliandika kuhusu kupotea kwa Ulomi? YAANI Polisi walikaa na taarifa Hii Hadi "alipopatikana" kwenye mafriji ya Mwananyamala.

Kama Polisi Wanakiri kuwa Ulomi hakua na Kitambulisho, LAKINI si alikua na Bodaboda "iliyopata Ajali"? Walishindwaje kuangalia usajili WA Bodaboda Kwenye mfumo wa TRA na kumtambua mmiliki? Ina maana angezikwa na Manispaa kwa kua hakua na Kitambulisho?

Kwangu Mimi hii taarifa imenipa mashaka Sana kuliko majibu.

View attachment 3178202
ya Ali kibao hakuna majibu hadi Leo na mtu alishushwa kwenye gari akaenda kuuuliea sembuse olomi aliliyekuwa akiiendesha pikipiki,YAANI KUTOKA UBUNGO HADI MWANANYAMALA MAJERUHI ANALIKUWA ANATALII MJI
 
Wapi na kwa namna gani? Ila kama alijitengenezea mazingira, kama Bwana Lema anavyosema, pumzika salama mwana. Sisi pia twaja taratibu
Waandishi wa habari hawana uwezo wa kuhoji matukio kama haya? au kazi ya ni kuandika na kuripoti kila taka wanazoelezwa?
 
Kwa maswali haya, Polisi wanakua Kwenye nafasi nzuri ya kujibu, wapi Ajali ilitokea, namna Ajali ilivyotokea (kugongwa au kugonga au kuanguka mwenyewe), huyu msamaria mwema ni nani hasa? Alitumia usafiri gani kumfikisha "Makuburi health Centre?"! Kutoka Makuburi (Ubungo) Hadi Mwananyamala kuna hospital kadhaa, mojawapo ikiwa ni Sinza Palestine, ambayo ina uwezo pia WA kupokea maiti, why wafunge safari ndefu Hadi Mwananyamala?
Siku zote mtu asiyefahamika akipata ajali barabarani taarifa husambaa haraka sana mitandaoni, ila hili lina maswali mengi yasiyojibika
 
Naomba nianze na taarifa yenyewe.

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limesema kuwa Daisle Simion Ulomi, aliyekuwa ameripotiwa kwamba amepotea, alifariki dunia baada ya kupata ajali mbaya na pikipiki aliyokuwa akiitumia siku ya Desemba 11, 2024.

Taarifa hiyo imetolewa leo Desemba 16, 2024 na Kamanda wa Polisi wa Kanda hiyo SACP Jumanne Muliro ambapo ameeleza kuwa tarehe 11 Desemba, 2024 Jeshi hilo lilipata taarifa ya kupotea kwake na ndugu hawakuwa wanampata kwenye mawasiliano ya simu, baada ya yeye kuondoka ofisini kwake Sinza na kudai anaelekea Temeke kufuatilia makontena yake ya biashara.

"Ulomi aliondoka eneo lake huku akitumia pikipiki namba MC 415 DQC aliyokuwa akiendesha mwenyewe, ufuatiliaji umefanyika kwa kushirikiana na ndugu na kubainika kuwa Ulomi alipelekwa kituo cha afya cha Makuburi Ubungo External mchana wa tarehe 11 Desemba, 2024 baada ya kupata ajali mbaya na pikipiki aliyokuwa akiitumia, wasamaria wema walimsadia kumpeleka kwenye kituo hicho akiwa hajitambui na hakuwa na kitambulisho chochote," imeeleza taarifa ya Kamanda Muliro.

Aidha taarifa hiyo imeeleza kuwa, " Baadae alipelekwa Mwananyamala hospitali na ikabainika tayari alikuwa amefariki na maiti yake kuhifadhiwa kwenye chumba cha kuhifadhia maiti cha hospitali hiyo kama mtu asiyefahamika akisubiri kutambuliwa na ndugu, ndugu tayari wameutambua mwili huo ukiwa na majeraha maeneo mbalimbali ya mwili. Aidha, Pikipiki aliyopata nayo ajali pia imepatikana ikiwa imeharibika. uchunguzi zaidi wa ajali hiyo unaendelea na taarifa zaidi itatolewa,".

#EastAfricaRadio

Maswali
Kwahio Afisa wa TRA ni kweli alipiga simu? Ni kweli kulikua na mawasiliano kati yake na Afisa wa TRA? Mbona baada ya "Afisa wa TRA" kumkosa (maana hakufika alikoitwa) hakuchukua hatua Yoyote ya kumpata "mteja" wake? Iko wapi simu ya Ulomi? Nani hasa alimpigia Ulomi kwenda bandari kavu? Mawasiliano ya mwisho ilikua chang'ombe, hapo jirani kuna hospital ya Temeke, why apelekwe Makuburi External?

Kwa maswali haya, Polisi wanakua Kwenye nafasi nzuri ya kujibu, wapi Ajali ilitokea, namna Ajali ilivyotokea (kugongwa au kugonga au kuanguka mwenyewe), huyu msamaria mwema ni nani hasa? Alitumia usafiri gani kumfikisha "Makuburi health Centre?"! Kutoka Makuburi (Ubungo) Hadi Mwananyamala kuna hospital kadhaa, mojawapo ikiwa ni Sinza Palestine, ambayo ina uwezo pia WA kupokea maiti, why wafunge safari ndefu Hadi Mwananyamala?

PIA SOMA
- TANZIA - Mwili wa Ulomi, Mfanyabiashara aliyedaiwa kupotea wakutwa mochwari Mwananyamala

Kama Polisi ndio walioupeleka mwili Huko, mbona hawakutoa taarifa kwa umma, na mitandao yote iliandika kuhusu kupotea kwa Ulomi? YAANI Polisi walikaa na taarifa Hii Hadi "alipopatikana" kwenye mafriji ya Mwananyamala.

Kama Polisi Wanakiri kuwa Ulomi hakua na Kitambulisho, LAKINI si alikua na Bodaboda "iliyopata Ajali"? Walishindwaje kuangalia usajili WA Bodaboda Kwenye mfumo wa TRA na kumtambua mmiliki? Ina maana angezikwa na Manispaa kwa kua hakua na Kitambulisho?

Kwangu Mimi hii taarifa imenipa mashaka Sana kuliko majibu.

View attachment 3178202
🙋‍♂️🤝🙏
 
Back
Top Bottom