Kifo hakina macho

Kifo hakina macho

Amosam

Senior Member
Joined
Jan 15, 2009
Posts
154
Reaction score
5
Kwa jinsi ambavyo aliyekuwa mbunge wa Tarime kupitia chama cha wakaskazini marehemu CHACHA WANGWE alivyokuwa katika malumbano na watendaji wa chama hicho ambao zaidi ya asilimia 98% wanatoka kanda ya kaskazini mwa Tanzania,sikutegemea hata kidogo kama angethubutu kuwa na uhusiano wa karibu na mmoja wao(MALLYA) na kumwamini kuwa dereva wake kwani nijuavyo mimi hata siku moja nyani hageuki kuwa mbuzi.

Malumbano ya marehemu na Wakaskazini yalikuwa makubwa hata kutishia kukisambaratisha chama ugomvi ambao haukwisha hadi pale umauti ulipomkuta Chacha Wangwe. Mahakama kuu kanda ya kati Dodoma imeaona kuwa bwana MALLYA amesababisha kifo cha Wangwe,swali wenzetu wa kaskazini ujasusi huu mmejifunzia wapi maana tunapata hofu hata ya kufanya biashara pamoja.

Nimeshaanza kuwa na wasiwasi hata kule Biharamuro kwani tayari dereva wa mgombea toka chama cha walaji amenusurika kifo baada ya kupigwa mapanga na bisibisi, wenzetu wa kaskazini mnatupeleka wapi?!
 
........kwani nijuavyo mimi hata siku moja nyani hageuki kuwa mbuzi.....

......wenzetu wa kaskazini mnatupeleka wapi?!
duh!
mimi naona unaaonea hawa miamba-wa - kaskazini!kama kuna weakness,labda ni INDIVIDUAL TU,ambayo hata mtu wa kule ludewa,au makambako,au kwa kina mudhihir,au kule bomba mbili ANAWEZA KUWA NAYO TU
 
Kwa jinsi ambavyo aliyekuwa mbunge wa Tarime kupitia chama cha wakaskazini marehemu CHACHA WANGWE alivyokuwa katika malumbano na watendaji wa chama hicho ambao zaidi ya asilimia 98% wanatoka kanda ya kaskazini mwa Tanzania,sikutegemea hata kidogo kama angethubutu kuwa na uhusiano wa karibu na mmoja wao(MALLYA) na kumwamini kuwa dereva wake kwani nijuavyo mimi hata siku moja nyani hageuki kuwa mbuzi.

Malumbano ya marehemu na Wakaskazini yalikuwa makubwa hata kutishia kukisambaratisha chama ugomvi ambao haukwisha hadi pale umauti ulipomkuta Chacha Wangwe. Mahakama kuu kanda ya kati Dodoma imeaona kuwa bwana MALLYA amesababisha kifo cha Wangwe,swali wenzetu wa kaskazini ujasusi huu mmejifunzia wapi maana tunapata hofu hata ya kufanya biashara pamoja.

Nimeshaanza kuwa na wasiwasi hata kule Biharamuro kwani tayari dereva wa mgombea toka chama cha walaji amenusurika kifo baada ya kupigwa mapanga na bisibisi, wenzetu wa kaskazini mnatupeleka wapi?!

Labda tukuulize wewe Mtanzania mwenzetu, unatupeleka wapi huku? Ni Kenya, Iran au wapi, Unajua madhara ya maswali yako na opinion yako isiyofanyiwa uchunguzi wowote? Hii ni Jamii Forums, si tu a place for Daring to talk Openly, but also a Home of Great Thinkers, na kama this is how we keep thinking and lead our country to the deep troubles we see our neighbours go through, then we are not Great Thinkers at all..
 
...........ivi wapi na wapi ''facts kuhusu kifo'' ikawa Breaking news?....mkuu edit title yako...ondoa hiyo BN...!
 
kuna uhusiano gani kati ya Mallya na hicho unachokiita wakaskazini?
 
Kwa jinsi ambavyo aliyekuwa mbunge wa Tarime kupitia chama cha wakaskazini marehemu CHACHA WANGWE alivyokuwa katika malumbano na watendaji wa chama hicho ambao zaidi ya asilimia 98% wanatoka kanda ya kaskazini mwa Tanzania,sikutegemea hata kidogo kama angethubutu kuwa na uhusiano wa karibu na mmoja wao(MALLYA) na kumwamini kuwa dereva wake kwani nijuavyo mimi hata siku moja nyani hageuki kuwa mbuzi.

Malumbano ya marehemu na Wakaskazini yalikuwa makubwa hata kutishia kukisambaratisha chama ugomvi ambao haukwisha hadi pale umauti ulipomkuta Chacha Wangwe. Mahakama kuu kanda ya kati Dodoma imeaona kuwa bwana MALLYA amesababisha kifo cha Wangwe,swali wenzetu wa kaskazini ujasusi huu mmejifunzia wapi maana tunapata hofu hata ya kufanya biashara pamoja.

Nimeshaanza kuwa na wasiwasi hata kule Biharamuro kwani tayari dereva wa mgombea toka chama cha walaji amenusurika kifo baada ya kupigwa mapanga na bisibisi, wenzetu wa kaskazini mnatupeleka wapi?!

Amosam, Kaanze upya.
Nadhani unataka tu kuongeza idadi ya posts zako. by the way usi generalize, sema wanakupeleka wapi siyo wanatupeleka wapi. Acha kuleta ukabila hapa.
 
Kwa jinsi ambavyo aliyekuwa mbunge wa Tarime kupitia chama cha wakaskazini marehemu CHACHA WANGWE alivyokuwa katika malumbano na watendaji wa chama hicho ambao zaidi ya asilimia 98% wanatoka kanda ya kaskazini mwa Tanzania,sikutegemea hata kidogo kama angethubutu kuwa na uhusiano wa karibu na mmoja wao(MALLYA) na kumwamini kuwa dereva wake kwani nijuavyo mimi hata siku moja nyani hageuki kuwa mbuzi.

Malumbano ya marehemu na Wakaskazini yalikuwa makubwa hata kutishia kukisambaratisha chama ugomvi ambao haukwisha hadi pale umauti ulipomkuta Chacha Wangwe. Mahakama kuu kanda ya kati Dodoma imeaona kuwa bwana MALLYA amesababisha kifo cha Wangwe,swali wenzetu wa kaskazini ujasusi huu mmejifunzia wapi maana tunapata hofu hata ya kufanya biashara pamoja.

Nimeshaanza kuwa na wasiwasi hata kule Biharamuro kwani tayari dereva wa mgombea toka chama cha walaji amenusurika kifo baada ya kupigwa mapanga na bisibisi, wenzetu wa kaskazini mnatupeleka wapi?!

Unajua ni tabia isiyo faa mtu kuamkia wanzuki na chibuku asubuhi asubuhi, halafu leo ni siku ya kazi hata weekend bado!
 
Back
Top Bottom