Kifo kinatisha kwa sababu hatujui kule tuendako

ila ikitokea hujaishi hiyo miaka inakua rehema za nani?
Wastani wa umri wa kuishi kwa zama zetu hizi ni miaka 70 ukitokea kupewa zaidi ya miaka hiyo ni rehma zake Mola Muumba.
 
Hujawahi kutana na mtu anafanana copyright na mtu mwingine wasio na uhusiano smbae ashakufa?
 
bado tangawizi mkuu ..


Ni kweli kabisa, hakuna shaka yoyote na jambo hilo, na inatupasa tujitahidi kutafuta njia sahihi za kufanya Ibada na kufanya mambo mema hapa duniani ili tutakapo kufa tukalale mahala pema huko Akhera.
 
Hata hali ya utoto tukiwa bado wachanga hatukumbuki,lakini hio sio kwamba hakukuwa na chpchote kipindi hicho ndiyo mana hatukumbuki.
 
ila ikitokea hujaishi hiyo miaka inakua rehema za nani?
Unajua maana ya wastani bro ? Au hujui ? Kama hujui usiandike au kujenga hoja juu ya jambo usilolijua.

Hapo hujauliza swali bro,labda baada ya haya ndio utauliza swali.
 
nimekuelewa sana bradha,asante.
 
mbona umesema ulikua haupo kisha ukawepo ,thena utakua haupo milele,kwanini baada ya kutokuwepo isitokee uwepo tena kisha uwe haupo then uwepo tena,kwanini baada ya kutokewepo hii mara ya pili iwe ndio forever wakati hata mwazo ulikua haupo kisha ukawepo
 
Huwa tunarudi kivingine,Roho haiwezi kufa bali mwili,kwa mtazamo wangu
 
Sawa,tufanye tu umeambiwa unakufa halafu utatokezea marekani hautagopa kufa..?
 
No fear, nachojua nitarudi nilipokuwa... roho itarudi pale ilipokuwa kabla haijaingia ndani ya mwili wangu! Kwa sababu wat goes around must come around..! Nitarudi nilipokuwa maana kazi iliyonileta duniani itakuwa imeshakwisha...
 
Kuanza kujiuliza kuhusu kifo ni sawa na kutaka kuachana na uhai wako
 
Mtaalamu wa hatima yetu baada ya kifo ni Kiranga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…