Kifo kinatisha kwa sababu hatujui kule tuendako

Kifo kinatisha kwa sababu hatujui kule tuendako

Mama yangu ni nurse muhimbili zaidi ya miaka 30 , aliwahi kuniambia Kwa experience yake ya kuwaona wagonjwa wakifariki aliniambia Kwa mtu anayekufa taratibu anajua wapi anaenda.
Aliniambia amewahi kushuhudia zaidi ya Mara kumi wagonjwa wanatoa tabasamu wakifurahia malaika wakija kuwachukua huku wakisifia mji wanaokwenda ni mzuri sana, akazidi kuniambia utashangaa mgonjwa alikuwa Amalia maumivu makali ya ugonjwa Mara anabadilika anaanza kutabasamu na anakuwa kama anataka kupaa huku akiwasihi malaika wamchukue.
Na upande wa pili wanaokwenda sehemu mbaya ndio balaa bora niishie hapa
Huu ushuhuda wa hatari
 
Mkuu nashukuru kwamba tuna mawazo yanayofanana kuhusu kifo ,nilishawahi kuja na bandiko hapa na kusema kwamba kama unajiuliza ukifa unaenda wapi basi jiulize kabla ya kuzaliwa ulikuwa wapi ?

Na ndio maana zilikuja theory nyingi zinazoelezea maisha ya kifo.



Story ya kabla ya kuzaliwa ni ngumu mno kuitambua, kwa sababu "you came from nothingness to some thing" kwa kuwa huwezi kutoa tafsiri ya kitu kisichokuwepo hapo ndipo ugumu ulipo, na ukisoma Qur'an Allah amerejea hiyo hoja yako akiwaambia wale wanaopinga ufufuo kwamba haupo na ni kitu kisichowezekana, basi Allah anawajibu (sikumnmbuki maneno vyema),kwamba kama aliweza kutuumba atashindwaje kutufufua ilhali kuumba ni kugumu zaidi kuliko kufufua tena siku ya akhera katika maisha ya kiroho.

Ni hivi, mtu anapokufa roho yake inaingia kwenye "Barzakh" intermediate stage au kaburi la roho (hili ni tofauti na kaburi la mwili lile ambalo huwa tunazika miili ya wafu wetu).

Katika Barzakh roho zinakuwa katika aina fulani ya usingizi kama vile mtoto alivyokuwa katika tumbo la mama yake kabla hajazaliwa na ndani ya barzakh roho ina "undergo" mabadiliko kwa ajili ya kufufuliwa kuingia akhera kama jinsi mtoto anavyo undergo mabadiliko tumboni kabla hajazaliwa, katika Barzakh hapo watu wataanza kuonja pepo au moto kulingana na matendo uliyoyafanya hapa duniani, hatua ya mwisho ni ufufuo (roho kuzaliwa kutoka Barzakh).

Sasa tukifika Ahera, tunakuwa na miili ya roho tulizokuwa nazo ndani ya Barzakh,na ndani ya miili hiyo kunakuwa na roho iliyokuwa ndani ambayo ndiyo itakayokuwa answerable mbele ya hukumu (siku ya qiyama/siku ya hukumu).

Katika siku ya hukumu wale waovu watakwenda jehanamu na wale wema watakwenda peponi.

Unaposema siku maana yake sio siku kama hizi zetu (24hrs), siku wakati wa Ahera ni zama/era-- ni kipindi kirefu sana ukilinganisha na muda wetu huu.

Falsafa ya moto:-

Motoni ni kama Hospitalini na moto ni kama dawa ya kutafuna madhambi yaliyomo ndani ya roho za wakosefu na madhambi ni kama ugonjwa wa roho hivyo basi wakati watu wema wakiwepo peponi wakila raha na starehe na kumuabudu Mungu kwa hiyari, watu wa motoni wataunguzwa vikali (kulingana na madhambi waliyotenda) kwa muda mrefu lakini baada ya madhambi yao kwisha/kuungua basi Mungu atawaingiza mmoja mmoja peponi wakianza maisha ya peponi "at square one"--- huyo ndiye Mungu mpole, mkarimu, mwenye huruma mwen hekima anapanga anavyotaka kulingana na hekima zake.

Kuna mambo mengi yakueleza hapa lakini muda hautoshi.

Kuna hatua tatu za maisha yetu, hatua ya kwanza ni Duniani,ya pili ni Barzakh na tatu na ya mwisho na ya milele ni Akhera.

Mungu atuongoze kufanya mema yanayompendeza ili tuingie peponi tutakapofufuliwa baada ya kufa.

amin.
 
biblia imefananisha kifo na usingizi mzito usio na ndoto ,hivyo razaro hakuwa na la kuadithia kuhusu kifo maana alikuwa amelala
kuhusu hizo purgatory ni sanaa tu za kucheza na akili za watu.
KIFO NI USINGIZI NA UTAAMKA PALE KRISTO ATAKAPOKUJA.
 
Mama yangu ni nurse muhimbili zaidi ya miaka 30 , aliwahi kuniambia Kwa experience yake ya kuwaona wagonjwa wakifariki aliniambia Kwa mtu anayekufa taratibu anajua wapi anaenda.
Aliniambia amewahi kushuhudia zaidi ya Mara kumi wagonjwa wanatoa tabasamu wakifurahia malaika wakija kuwachukua huku wakisifia mji wanaokwenda ni mzuri sana, akazidi kuniambia utashangaa mgonjwa alikuwa Amalia maumivu makali ya ugonjwa Mara anabadilika anaanza kutabasamu na anakuwa kama anataka kupaa huku akiwasihi malaika wamchukue.
Na upande wa pili wanaokwenda sehemu mbaya ndio balaa bora niishie hapa
Pale tango pori linakolea wakati chungu.
 
Sioni haja ya kuogopa kifo mkuu Zero IQ , uliwahi kujiuliza ulipokua upo tumboni kwa mamayo ama kama umepitia (IVF) in-vitro fertilisation ulikua unajua unaenda wapi, ama uko wapi? Kama ulikua hujui don't bother yourself about death experience! Je, kama uta transcend na kuingia kwenye another womb?
je, kama kabla ya kuwa hapo ulipo uliwahi kuishi sema tu upo clouded na conscious mind na hujawahi enda beyond ujue kuna nini?
Mfano, budha kabla ya kuzaliwa anasema alikuwa ni tembo.. vipi kuhusu wewe?
Btw,
Maisha mazuri sio jumla ya miaka uloishi hapa duniani bali ni kwa kiasi gani ume serve the humanity, universe.. sio unaishi kama methusela wa kwenye biblia ya wakristo and yet hakufanya chochote kwa mungu wake.
within u all answers to ur questions resides. .
Start ur journey home brother.
Hayo maswali ndiyo yanafanya watu kuogopa kifo
 
Mama yangu ni nurse muhimbili zaidi ya miaka 30 , aliwahi kuniambia Kwa experience yake ya kuwaona wagonjwa wakifariki aliniambia Kwa mtu anayekufa taratibu anajua wapi anaenda.
Aliniambia amewahi kushuhudia zaidi ya Mara kumi wagonjwa wanatoa tabasamu wakifurahia malaika wakija kuwachukua huku wakisifia mji wanaokwenda ni mzuri sana, akazidi kuniambia utashangaa mgonjwa alikuwa Amalia maumivu makali ya ugonjwa Mara anabadilika anaanza kutabasamu na anakuwa kama anataka kupaa huku akiwasihi malaika wamchukue.
Na upande wa pili wanaokwenda sehemu mbaya ndio balaa bora niishie hapa
Mbona wengine wakifa wanatisha Sana jamani kwanini
 
Hakuna maisha baada ya kifo!
Ukishakufa stage unayoiendea ni kuoza na kuisha kabisa hadi kufikia hali ya udongo kamili

Tulikuwa hatupo, tumewepo na hatimaye hatutokuwepo tena mahala popote ulimwenguni

Ukisema kuna maisha baada ya kifo inamaanisha unaupinga ukweli unaoujua wewe mwenyewe ya kwamba, afapo kiumbe yeyote anaoza na kuharibika!

HAKUNA MAISHA BAADA YA KIFO

Kama vile ambavyo hukumbuki lolote nyuma kabla ya kutunga kwa mimba yako, ndivyo hivyo itakavyokuwa baada ya kufa kwako

Lakini kifo sio cha kuogopa maana lazima tujue kuwa, kama kuna kuwepo basi kutokuwepo kupo pia

Kifo ni rafiki mzuri kuliko uzima
 
Story ya kabla ya kuzaliwa ni ngumu mno kuitambua, kwa sababu "you came from nothingness to some thing" kwa kuwa huwezi kutoa tafsiri ya kitu kisichokuwepo hapo ndipo ugumu ulipo, na ukisoma Qur'an Allah amerejea hiyo hoja yako akiwaambia wale wanaopinga ufufuo kwamba haupo na ni kitu kisichowezekana, basi Allah anawajibu (sikumnmbuki maneno vyema),kwamba kama aliweza kutuumba atashindwaje kutufufua ilhali kuumba ni kugumu zaidi kuliko kufufua tena siku ya akhera katika maisha ya kiroho.

Ni hivi, mtu anapokufa roho yake inaingia kwenye "Barzakh" intermediate stage au kaburi la roho (hili ni tofauti na kaburi la mwili lile ambalo huwa tunazika miili ya wafu wetu).

Katika Barzakh roho zinakuwa katika aina fulani ya usingizi kama vile mtoto alivyokuwa katika tumbo la mama yake kabla hajazaliwa na ndani ya barzakh roho ina "undergo" mabadiliko kwa ajili ya kufufuliwa kuingia akhera kama jinsi mtoto anavyo undergo mabadiliko tumboni kabla hajazaliwa, katika Barzakh hapo watu wataanza kuonja pepo au moto kulingana na matendo uliyoyafanya hapa duniani, hatua ya mwisho ni ufufuo (roho kuzaliwa kutoka Barzakh).

Sasa tukifika Ahera, tunakuwa na miili ya roho tulizokuwa nazo ndani ya Barzakh,na ndani ya miili hiyo kunakuwa na roho iliyokuwa ndani ambayo ndiyo itakayokuwa answerable mbele ya hukumu (siku ya qiyama/siku ya hukumu).

Katika siku ya hukumu wale waovu watakwenda jehanamu na wale wema watakwenda peponi.

Unaposema siku maana yake sio siku kama hizi zetu (24hrs), siku wakati wa Ahera ni zama/era-- ni kipindi kirefu sana ukilinganisha na muda wetu huu.

Falsafa ya moto:-

Motoni ni kama Hospitalini na moto ni kama dawa ya kutafuna madhambi yaliyomo ndani ya roho za wakosefu na madhambi ni kama ugonjwa wa roho hivyo basi wakati watu wema wakiwepo peponi wakila raha na starehe na kumuabudu Mungu kwa hiyari, watu wa motoni wataunguzwa vikali (kulingana na madhambi waliyotenda) kwa muda mrefu lakini baada ya madhambi yao kwisha/kuungua basi Mungu atawaingiza mmoja mmoja peponi wakianza maisha ya peponi "at square one"--- huyo ndiye Mungu mpole, mkarimu, mwenye huruma mwen hekima anapanga anavyotaka kulingana na hekima zake.

Kuna mambo mengi yakueleza hapa lakini muda hautoshi.

Kuna hatua tatu za maisha yetu, hatua ya kwanza ni Duniani,ya pili ni Barzakh na tatu na ya mwisho na ya milele ni Akhera.

Mungu atuongoze kufanya mema yanayompendeza ili tuingie peponi tutakapofufuliwa baada ya kufa.

amin.
Sheikh wewe ni AHMADIYYA? Moto ni wa milele au ni muda (temporary) kwa fiqh za kisunni?
 
Majuzi nilipata shambulizi kali la ugonjwa wa pumu nikazimia kwa takriban nusu saa,sasa kama huo ni mfano wa kufa hakuna cha kuogopa kwani hujui wala hakuna hisia yoyote.
 
Mama yangu ni nurse muhimbili zaidi ya miaka 30 , aliwahi kuniambia Kwa experience yake ya kuwaona wagonjwa wakifariki aliniambia Kwa mtu anayekufa taratibu anajua wapi anaenda.
Aliniambia amewahi kushuhudia zaidi ya Mara kumi wagonjwa wanatoa tabasamu wakifurahia malaika wakija kuwachukua huku wakisifia mji wanaokwenda ni mzuri sana, akazidi kuniambia utashangaa mgonjwa alikuwa Amalia maumivu makali ya ugonjwa Mara anabadilika anaanza kutabasamu na anakuwa kama anataka kupaa huku akiwasihi malaika wamchukue.
Na upande wa pili wanaokwenda sehemu mbaya ndio balaa bora niishie hapa

alikupa chai uyo. dini inaeleza hata mitume waliumia wakati wa kutolewa roho
 
Mama yangu ni nurse muhimbili zaidi ya miaka 30 , aliwahi kuniambia Kwa experience yake ya kuwaona wagonjwa wakifariki aliniambia Kwa mtu anayekufa taratibu anajua wapi anaenda.
Aliniambia amewahi kushuhudia zaidi ya Mara kumi wagonjwa wanatoa tabasamu wakifurahia malaika wakija kuwachukua huku wakisifia mji wanaokwenda ni mzuri sana, akazidi kuniambia utashangaa mgonjwa alikuwa Amalia maumivu makali ya ugonjwa Mara anabadilika anaanza kutabasamu na anakuwa kama anataka kupaa huku akiwasihi malaika wamchukue.
Na upande wa pili wanaokwenda sehemu mbaya ndio balaa bora niishie hapa
bado tangawizi mkuu ..
 
Back
Top Bottom