Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
True storyKinachitisha kwenye swala la kifo siyo kifo chenyewe, ni namna au manner ya namna kifo chenyewe ambavyo huwa kinakuja kwamba lazima upitie taabu na /au maumivu makali. Ingekuwa watu wanafariki pasipo maumivu yoyote let's say wakiwa hata usingizini, wachache sana wangeogopa kifo!
Nilipochomwa sindano hii in between nilikua namuona mtoto wangu akikimbia sehemu yenye bustani ya maua mazuriii pink na baby yellow na nlikua namuita asipotee,... nlipoamka niliambiwa nilikua namtaja jina mwanangu muda woteKama kuna mtu alishawahi kufanyiwa operation na kupigwa general anaesthesia anaweza kuimagine kifo kikoje
Yaan from the moment unachomwa ile sijui sindano ya ketamine within few seconds kuna harufu unaiskia then faster kuna ka blurred vision baada ya hapo ukisikia wenge makelele etc ujue ndo unazinduka
Means
In between hujui chochote I repaeat chochote huwez kuhis hata kama ulilala time ndefu like usingiz Wa kawaida mixer sometimes kuna ma ndoto ndoto yaan huhisi chochote per see sasa assume hapo wewe bado uko hai Moyo unafanya kazi ubongo etc inakua hivyo vipi uhai ukisimama?
Yaan ukifa you a gone basi zingine ni kupeana Moyo tu
Yaan wakat unamwona mtoto means ndo fahamu zinarudi(subconscious state) lakin katikat ya nusu kaput no feelings at allNilipochomwa sindano hii in between nilikua namuona mtoto wangu akikimbia sehemu yenye bustani ya maua mazuriii pink na baby yellow na nlikua namuita asipotee,... nlipoamka niliambiwa nilikua namtaja jina mwanangu muda wote
Inawezekana aisee ile sindano nayo ni sehemu ya kifo kama kipo vile wala hakuna tatizo kabisaaa tatizo ni kuwahi tuYaan wakat unamwona mtoto means ndo fahamu zinarudi(subconscious state) lakin katikat ya nusu kaput no feelings at all
Uislamu ni dini ya mapokeo hususan ktk mambo ya ghaibu, yaani tunaamini kuran yote na Hadith sahihi zote tena si kwa uewelewa wetu bali kama walivyoelewa Maswahaba Allah awaridhie wote. Huu ni msingi muhimu sana ktk dini ya uislamu. Kwahivyo basi kwa mujibu wa Quran na Sunnah kama walivyofahamu Maswahaba Allah awaridhie wapo watu watakao kaa motoni MILELE na wapo watu watakaa motoni kwa muda fulani kisha watatolewa humo na kupelekwa motoni.
.... kupelekwa PEPONI
Umeona Mkuu.....me tangu nimechomwa hayo masindano sinaga hofu ya kifo kabisaInawezekana aisee ile sindano nayo ni sehemu ya kifo kama kipo vile wala hakuna tatizo kabisaaa tatizo ni kuwahi tu
Hiyo chai mkuuHii sio chai kweli hii