Kifo na kuokotwa kwa maiti ya mwalimu huyu kunaleta mwanga kwa matukio mengine kama haya

Kifo na kuokotwa kwa maiti ya mwalimu huyu kunaleta mwanga kwa matukio mengine kama haya


Make hapo kwanza ncheke ,kipindi cha awamu ya 5 ni kikosi kazi kilikuwa kinafanya hayo matukio na ndiyo maana serikali ilikuwa inafumbia macho kwasaabu walikuwa wanajua kinachoendelea.

Nakufunua sasa ubongo uelewe ,ukiona tukio kubwa limefanyika ambayo yanafanana na hayo halafu wahusika hawakukamatwa basi wewe ingia sebuleni funga msuli uendelee kunywa kahawa.
 
Back
Top Bottom