"Kifua" Kinamsumbua Christian Bella

"Kifua" Kinamsumbua Christian Bella

King Kong III

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2010
Posts
56,205
Reaction score
79,515
Umofia kwenu wana JF,

Ni siku nyingi sana sijamsikia christian bella kwenye anga za burudani au akifanya live interview kwa radio/TV,katika kufatilia nimeambiwa anasumbuliwa na ugonjwa wa "kifua".

Ugonjwa wa Kifua na moyo ni moja ya magonjwa ambayo yanawasumbua sana watu maarufu.Nampa pole CB,Get well soon.

From,
MINJINGU.
 
Umofia kwenu wana JF,

Ni siku nyingi sana sijamsikia christian bella kwenye anga za burudani au akifanya live interview kwa radio/TV,katika kufatilia nimeambiwa anasumbuliwa na ugonjwa wa "kifua".

Ugonjwa wa Kifua na moyo ni moja ya magonjwa ambayo yanawasumbua sana watu maarufu.Nampa pole CB,Get well soon.

From,
MINJINGU.


!
!
Mh...... Sio mambo yetu kweli? Mamarioo sana hao
 
Wewe Ndio hujamuona
Sipo DSM so siwezi kuonana naye live ila kipindi cha nyuma ilikuwa haipiti siku mbili au tatu lazima utamsikia kwa hewa(TV/Radio) akifanya interview au akizungumziwa kuhusu show anazotarajia kufanya lakini miezi kama miwili mitatu sijamsikia kabisa,lakini haiondoi ukweli kwamba alikuwa kimya alikuwa anasumuliwa na ugonjwa wa "Kifua".
 
Sipo DSM so siwezi kuonana naye live ila kipindi cha nyuma ilikuwa haipiti siku mbili au tatu lazima utamsikia kwa hewa(TV/Radio) akifanya interview au akizungumziwa kuhusu show anazotarajia kufanya lakini miezi kama miwili mitatu sijamsikia kabisa,lakini haiondoi ukweli kwamba alikuwa kimya alikuwa anasumuliwa na ugonjwa wa "Kifua".
Mkuu naona kama hiyo ya kusumbuliwa na ugonjwa wa "kifua" ndio iliyokupendeza,si ndio ....??
 
Mi naona kitambi ndio kinamsumbua
 
Back
Top Bottom