King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Umofia kwenu wana JF,
Ni siku nyingi sana sijamsikia christian bella kwenye anga za burudani au akifanya live interview kwa radio/TV,katika kufatilia nimeambiwa anasumbuliwa na ugonjwa wa "kifua".
Ugonjwa wa Kifua na moyo ni moja ya magonjwa ambayo yanawasumbua sana watu maarufu.Nampa pole CB,Get well soon.
From,
MINJINGU.
Ni siku nyingi sana sijamsikia christian bella kwenye anga za burudani au akifanya live interview kwa radio/TV,katika kufatilia nimeambiwa anasumbuliwa na ugonjwa wa "kifua".
Ugonjwa wa Kifua na moyo ni moja ya magonjwa ambayo yanawasumbua sana watu maarufu.Nampa pole CB,Get well soon.
From,
MINJINGU.