tueur de lion
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 902
- 781
Mkuu upo Minjingu au ni swagga tu Mzee? Nilishawahi kuish pande hzo mkuu utotoniUmofia kwenu wana JF,
Ni siku nyingi sana sijamsikia christian bella kwenye anga za burudani au akifanya live interview kwa radio/TV,katika kufatilia nimeambiwa anasumbuliwa na ugonjwa wa "kifua".
Ugonjwa wa Kifua na moyo ni moja ya magonjwa ambayo yanawasumbua sana watu maarufu.Nampa pole CB,Get well soon.
From,
MINJINGU.