tueur de lion
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 902
- 781
Mkuu upo Minjingu au ni swagga tu Mzee? Nilishawahi kuish pande hzo mkuu utotoniUmofia kwenu wana JF,
Ni siku nyingi sana sijamsikia christian bella kwenye anga za burudani au akifanya live interview kwa radio/TV,katika kufatilia nimeambiwa anasumbuliwa na ugonjwa wa "kifua".
Ugonjwa wa Kifua na moyo ni moja ya magonjwa ambayo yanawasumbua sana watu maarufu.Nampa pole CB,Get well soon.
From,
MINJINGU.
Hawajui wanachoongeaPOMBE KALI kumbe inasababisha ugonjwa wa kifua??
Ushamba mzigoUmofia kwenu wana JF,
Ni siku nyingi sana sijamsikia christian bella kwenye anga za burudani au akifanya live interview kwa radio/TV,katika kufatilia nimeambiwa anasumbuliwa na ugonjwa wa "kifua".
Ugonjwa wa Kifua na moyo ni moja ya magonjwa ambayo yanawasumbua sana watu maarufu.Nampa pole CB,Get well soon.
From,
MINJINGU.
Watu wa mikoani mna shida sanaHapana Mkuu,Muzee ya masauti yupo kimya sana,hasikiki kwa hewa.
Hata mimi nashangaa mkuu sijui kwa niniHawajui wanachoongea
Kuadhimisha.Serena hotel kuazimisha Uhuru wa congo
Ha ha ha mnanichekeshaShule zinafunguliwa kesho, utupishe na upumbav wako
Ha ha haNilikuwa Minjingu.