Bi nyakomba
JF-Expert Member
- Mar 23, 2012
- 385
- 104
Habari ya jioni hii wakuu,
Naomba ushauri na mchango wa mawazo. Ninaujauzito wa miezi 6, niimepatwa na ugonjwa wa kifua kubana na ninakohoa sana. Sijawahi kubanwa kifua kabla. nateseka sana hasa usiku.
Wiki iliopita kilibana sana, nikaenda hospital wakanichoma sindano za kwenye mshipa, nikapata nafuu kidogo, ila baada ya siku kama mbili kikaanza tena.
Natumia salbutamo kinapobana, nimekunywa dozi ya anthromysin azuma ,dozi mara 2 sioni ahueni.
Naomba mwenye ushauri au msaada wowote anisaidie naingiwa hofu ikifika kipindi cha kujifungua itakueaje.
Naomba ushauri na mchango wa mawazo. Ninaujauzito wa miezi 6, niimepatwa na ugonjwa wa kifua kubana na ninakohoa sana. Sijawahi kubanwa kifua kabla. nateseka sana hasa usiku.
Wiki iliopita kilibana sana, nikaenda hospital wakanichoma sindano za kwenye mshipa, nikapata nafuu kidogo, ila baada ya siku kama mbili kikaanza tena.
Natumia salbutamo kinapobana, nimekunywa dozi ya anthromysin azuma ,dozi mara 2 sioni ahueni.
Naomba mwenye ushauri au msaada wowote anisaidie naingiwa hofu ikifika kipindi cha kujifungua itakueaje.