Kifua kwa mtoto

Osmokalu

Senior Member
Joined
Nov 13, 2015
Posts
186
Reaction score
148
Msaada wenu ma Doctors,mwanangu wa mwaka 1.5 aasumbuliwa na kifua yaani sija lala usiku ni kifua kina dalili ya kifua cha pumu,kwani akipata unafuu na kulala kidogo unakisikia kwa mbali kama kiji mluzi.Msaada wenu jamani nini tiba yake au ushauri wenu zaidi,niko Daslam
 
Muoneni daktari apate dawa, mluzi hutokea njia ya hewa inapokuwa ndogo. Inhaler inasaidia kuzibua njia hizo.
 
Muoneni daktari apate dawa, mluzi hutokea njia ya hewa inapokuwa ndogo. Inhaler inasaidia kuzibua njia hizo.
Inhale ndio dawa gani,nimekwenda hospitali wamempa erythromycin
 
Inhale ndio dawa gani,nimekwenda hospitali wamempa erythromycin
bila shaka hiyo erythromycin ni ile dawa ya unga unachanganya na maji! km ndio hiyo basi tumia kwnz hiyo mpk iishe kama sijakosea ni dozi ya siku 7,ni dawa nzuri sana ya kikohozi kwa watoto.Nina ushuhuda mzuri ktk hiyo dawa sababu mtt wangu nae alipata hiyo shida
 
Hospital haraka sana Mkuu.

 
Asante sana kiongozi ngoja niitumie ila kama leo usiku hali itakuwa hivii kama leo,nitampeleke Hospital
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…