Kifuatacho baada ya Magufuli!

NCH YOYOTE DIKTETA AKIONDOKA HUWA NCH INABAKI KTK DILEMA , HATA WAGANDA KIPIND ID AMIN ANAONDOKA NCHI YA UGANDA ILIBAKI KTK DILEMA WASIJUE WAP WANAELEKEA....KWAIYO KUBAK NJIAPANDA NI KAWAID KWA TAIFA LOLOTE LINALOTOKA KTK KIPIND CHA MIKONO YA CHUMA KWENDA KIPIND KINGINE.
 
Hakika ujinga wa utoton unaweza kumalizika lkn ujinga wa uzeen lazima utakufa nao tu
 
Mada ndefu pumba Tupu, yaani aliwajaza Toxic mbaya sana,Tunamkumbuka sana Nyerere na siyo huyo Magufuli wenu
 
Uganda na Tanzania ni tofauti
 
Mada ndefu pumba Tupu, yaani aliwajaza Toxic mbaya sana,Tunamkumbuka sana Nyerere na siyo huyo Magufuli wenu
Sawa

Baada ya kifo...una maoni gani Mkuu? Vipi ushauri + mitazamo yako?

...vipi uongozi uliopo? Mambo yatakuwa yale yale au ndo hivyo tena kwa sabbu alikuwa msaidizi wake wa karibu?

Jf ina kila aina ya watu..sasa kwa mtu kama mimi niliezaliwa na inteligence ya hali ya juu nina imani nafanya interview na mtu maarufu sana tena sanaa..Naomba majibu
 
Matajiri, akina Mengi, Bakhresa, Mimi, nk walimnyanyasa nani?? wana muda huo kwanza? kutoa ajira kwetu na kuwapa tukawalipa mishahara minono mkala na familia zenu tukalipa kodi mtibiwe mpite barabara ya Lami, leo unatulaani???

utalaaniwa wewe maskini kwanza na jamii yako, yaani wema wetu woote huo eti ni tume wanyanyasa watu? hkn tajiri mnyenyekevu km Mengi, Bakhresa, Nyarusare nk... hizo safari za huyo ki bushuti zilighramiwa na hao!!

Wewe uliumia, na unaumia ajili ya chuki dhidi yetu sisi matajiri, utaumia sana na vinyongo visivyoisha moyoni mwako hivo lazima unateseka sana, tunavo jirusha na madege yetu,

kwa taarifa yako mwenzangu kateuliwa na Ramaphosa kubunya zaidi, na ana bunya hasa hutaki kajinyonge basi, si babu yako alitaka kumuua aishi km shetani? sasa kibao kimegeuka. hapana chezea Mungu wetu wewe yaani ni wa pekee.

unataka na kuomba wawe maskini km wewe, wapate anguko la ghafla!! hkn tajiri Duniani anae nyanyasa Maskini hizi unatulisha propaganda za kijinga, si za kisomi hizi!! na km umesoma uliibia mtihani!!! hukupaswa hata kuonekana humu, kwa nafas hii!

Nani alidhurumiwa na tajiri Bongo yetu hii huru?? wakti wewe ndo unatumwa kututeka sisi matajiri??... Masikini bwana ni mzigo hasa hata mbinguni hamuendi!!! sitakagi ujirani na maskini mimi, kulia lia tuuu!!

Chuki dhidi ya matajiri nakwambia wewe!! Mbinguni ya manukato hutaijua ukamnukishe nani hayo ma jasho yako ya fungus?? Malaika hawana fungus!!!

Maskini wote wa Bongo jiandaeni kupigwa kiberiti siku za mwisho mfe! ni mikosi!! angalia ''ulipewa talanta tano unatakiwa ulete kwa Bwana kumi!! weye ulivo unachimbia...itazaaje sasa?

wkt Matajiri km Mengi wako paradiso!! mkono wa kuume wa Mungu mwenye haki! nyie maskini mtakuwa mkilia na kusaga meno msidanganywe na gwajima, sababu ndo Mungu kawapa huo utajiri wafanyeje sasa, hakuna jinsi nyie wanuka vikwapa mnamkasirikia,

Ukijiua eti kwa sababu Nyarusare ni millionair, una la kujibu siku ya mwisho, mtakuwa kuni za kumteteketeza shetani kwa roho yake ya ukatili... Walala hoi Mungu hawapendi!! alisema ''Ombeni nanyi mtapewa'' ...mtafunguliwa.... eti wewe unalala?? unazalisha chuki heee!! fikiri tena!!! yeye Mungu wetu si mlala hoi. labda wa kwako huyo.... ushauri wangi....

Tafuta kanisa la wasabato mahali popote ulipo ukabatizwe huko uwe tajiri hatimaye wende Mbinguni

Wapiga ndagu Matajiri japo hao watakuwa na la kujitetea!! lkn wewe mpyufff!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…