Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 16,003
- Thread starter
-
- #121
Dogo,jenga hoja na si kuleta hisiaUnaniita dogo! JS bwana unanipa raha wakati mwingine. Naweza kuwa hata baba yako kama sio mzazi basi wa kufikia. Hizi lugha unazoziona ni kwa vile tumesoma na kuzeekea mjini tuu.
Hatukuletwa na mbio za mwenge au kusalimia ndugu hivyo kwako wewe wawedha kudhani ni za dogo kama wewe.
kampeni chafu za ccm dhidi ya tishio lao.................mlianza na kambona...........mkamchafua..............jumbe.............vivyo hivyo.............mrema, dr. slaa sasa zamu ya lowassa na hiyo laana itaendelea hata baada ya kuitema ikuluNaam jicho la tatu limeshachungulia wanaChadema kindai ndaki wameshaamka sasa ni wazi wazi wantamka maneno makali yenye kuonyesha kutoridhishwa na uwepo wa Lowassa ndani ya chamn na upande mwingine wa shilingi yaani Team Lowassa wao wanajipanga na wameweza kupandikiza watu wao katika vikao vya maamuzi, naaum mbegu imepandwa na imeota sasa inamea, naaaum mmea wenyewe ni miba mikali sasa inachoma.
Kwa 'makamanda' Lowassa si tena raisi wa mioyo yao kama walivyomwita Dr.Slaa kwa miaka mitano mfululizo kabla ya kurubuniwa mwaka 2015 lakini kwa teamLowassahuwaimbii kitu. Kwa haraka haraka nyufa nyingi zimetokea kiasi kisichoelezeka na huenda 'jumba' likalemewa na kuanguka.
Naaam, 'ajizi nyumba ya njaa' kama ambavyo waswahili walivyonena..kwa sasa Zitto ameonekana kufurahiwa na 'makamanda' wakijuta sasa kumpoteza, kila mtu sasa anafutilia kauli za Zitto kwenye mitandao na mikutano na kuhakikisha zinasambaa kwa watu wengi wakati huohuo 'makamanda' wamelaani tabia ya Mbowe kuwachagulia viongozi kwenye kanda za kiutawala ndani ya chama hadi kupelekea makumi na mamia ya viongozi wa mashina kufa moyo na baadhi kujiuzuru. Kuelekea uchaguzi ndani ya chama na hata uchaguzi mkuu mwaka 2020 njia ni nyeupe na ninawaona baadhi ya wabunge wa sasa wa Chadema haswa wale wasiotokea kanda ya kaskazini na wanachama waandamizi wakihamia ACT Wazalendo na kuendelea na harakati zao kisiasa wakimsusia chama ndugu Lowassa na Mbowe.
Na chakufurahisha zaidi kafulila atagombea ubunge huko Kigoma mwaka 2020 kupitia ACT wazalendo na si Chadema ni suala la muda tu.
Nawasilisha.
Haya kubwa umeshinda!Dogo,jenga hoja na si kuleta hisia
uko mahali yake..................Wamemshindwa Mbowe sasa wanakimbilia Kwenye Mali zake,
Chadema ni chama cha upinzani hata mwalimu Nyerere akiona mapema kabisa bado kidogo.
Alitoa kauli hii, Sioni upinzani Tanzania labada Chadema, Hiki chama naona kina misingi kama wakiisimamia ni Chama kizuri,
Na ndio maana hata Lowassa, Kingunge , Sumae waliliona hilo.
kwahiyo kwa mbinu za kununua Upinzani utaishia kwa NCCR ya Mrema, CUF ya Lipumba sio ya Seifu siii Chadema,
Jitahidini kuchonganisha tu Mitandaoni na kwingine sii kununua Viongozi na kufanikiwa kuua chama, Chadema ni Taasisi kubwa sana,
Mnakumbuka mlimnunua nani na nini kilitokea?
Tangu Kanisa Katoliki lirudi CCM baada ya Jk kuondoka Chadema wanapita kipindi Kigumu sana
HakikaHata Maalim Seif ni haohao
Hakikasasa hivi utasikia 2020 kwani juzi ndio mmepigwa 20-1 alafu mnajipa imani mie naangalia mchezo tu maana hizi siasa wengine wana vitabu wengine wanakaa na njaa maskan
ngoja nifanye yangu niwaachie wemyewe na ccm vs ukawa
Unajificha kwa mwenziouko mahali yake..................