Tetesi: Kifuatacho: Mtafaruku wa CHADEMA na TeamLowassa kuinufaisha ACT Wazalendo, Kafulila kumfuata Zitto

Tetesi: Kifuatacho: Mtafaruku wa CHADEMA na TeamLowassa kuinufaisha ACT Wazalendo, Kafulila kumfuata Zitto

Naam jicho la tatu limeshachungulia wanaChadema kindai ndaki wameshaamka sasa ni wazi wazi wantamka maneno makali yenye kuonyesha kutoridhishwa na uwepo wa Lowassa ndani ya chamn na upande mwingine wa shilingi yaani Team Lowassa wao wanajipanga na wameweza kupandikiza watu wao katika vikao vya maamuzi, naaum mbegu imepandwa na imeota sasa inamea, naaaum mmea wenyewe ni miba mikali sasa inachoma.

Kwa 'makamanda' Lowassa si tena raisi wa mioyo yao kama walivyomwita Dr.Slaa kwa miaka mitano mfululizo kabla ya kurubuniwa mwaka 2015 lakini kwa teamLowassahuwaimbii kitu. Kwa haraka haraka nyufa nyingi zimetokea kiasi kisichoelezeka na huenda 'jumba' likalemewa na kuanguka.

Naaam, 'ajizi nyumba ya njaa' kama ambavyo waswahili walivyonena..kwa sasa Zitto ameonekana kufurahiwa na 'makamanda' wakijuta sasa kumpoteza, kila mtu sasa anafutilia kauli za Zitto kwenye mitandao na mikutano na kuhakikisha zinasambaa kwa watu wengi wakati huohuo 'makamanda' wamelaani tabia ya Mbowe kuwachagulia viongozi kwenye kanda za kiutawala ndani ya chama hadi kupelekea makumi na mamia ya viongozi wa mashina kufa moyo na baadhi kujiuzuru. Kuelekea uchaguzi ndani ya chama na hata uchaguzi mkuu mwaka 2020 njia ni nyeupe na ninawaona baadhi ya wabunge wa sasa wa Chadema haswa wale wasiotokea kanda ya kaskazini na wanachama waandamizi wakihamia ACT Wazalendo na kuendelea na harakati zao kisiasa wakimsusia chama ndugu Lowassa na Mbowe.

Na chakufurahisha zaidi kafulila atagombea ubunge huko Kigoma mwaka 2020 kupitia ACT wazalendo na si Chadema ni suala la muda tu.

Nawasilisha.
Unawasilisha upuuzi peleka lumumba labda watakuona na buku saba
 
Wamemshindwa Mbowe sasa wanakimbilia Kwenye Mali zake,
Chadema ni chama cha upinzani hata mwalimu Nyerere akiona mapema kabisa bado kidogo.

Alitoa kauli hii, Sioni upinzani Tanzania labada Chadema, Hiki chama naona kina misingi kama wakiisimamia ni Chama kizuri,
Na ndio maana hata Lowassa, Kingunge , Sumae waliliona hilo.
kwahiyo kwa mbinu za kununua Upinzani utaishia kwa NCCR ya Mrema, CUF ya Lipumba sio ya Seifu siii Chadema,
Jitahidini kuchonganisha tu Mitandaoni na kwingine sii kununua Viongozi na kufanikiwa kuua chama, Chadema ni Taasisi kubwa sana,

Mnakumbuka mlimnunua nani na nini kilitokea?
Unatetea mkwepa kodi eti kisa mi mrithi halali wa chama cha bamkwe
 
Wee dada hata kama umepewa ubunge wa viti maalum , lakini unahenya mno kulipa fadhila .

Ni heri kujishughulisha na kilimo kuliko kuhenyeshwa hata kwa thread za uongo .
 
Kuvunjika kwa chama cha CUF upande wa bara siwalaumu(ACT-Wazalendo).lakini kwa wao kutumia hiyo fursa kujaribu kuiua Chadema nawalaumu sana.kwasababu ACT ndio wako mbele kujaribu kuua Ukawa ili mwisho wa siku wawe ndio chama kikuu cha upinzani.wafuasi wa ACT wamejaa kila social media kujaribu kuhamasisha Chadema wampindue Mbowe.Mtashindwa tuu kama kawaida
 
Kuvunjika kwa chama cha CUF upande wa bara siwalaumu(ACT-Wazalendo).lakini kwa wao kutumia hiyo fursa kujaribu kuiua Chadema nawalaumu sana.kwasababu ACT ndio wako mbele kujaribu kuua Ukawa ili mwisho wa siku wawe ndio chama kikuu cha upinzani.wafuasi wa ACT wamejaa kila social media kujaribu kuhamasisha Chadema wampindue Mbowe.Mtashindwa tuu kama kawaida
Toka lining?
 
Kuna taarifa kuwa vijana wa lumumba wamezidiwa mitandaoni wameomba nguvu kwa vijana wa TISS.halaf na wazee wa suti nyeusi sasahivi nasikia wamejaa wasukuma tu.
 
Acha utumwa wa fikra,nia yangu ni kukufungua tola minyororo ya utumwa
Wewe bado kabisa. Utumwa wa kifikra unaozidi umri wako si mchezo. Ndo maana bado hujijui, uwezo wa kushauri utaupata wapi?Umebaki kuwa wa kuimba na kusifu kwa ushuru mdogo.
 
Pamoja na kuwa mimi ni kamanda nisiyeunga mkono uwepo wa Lowassa ndani ya chama ila nakiri sijaona hoja kwenye andiko lako.
 
Acha utumwa wa fikra,nia yangu ni kukufungua tola minyororo ya utumwa
Hivi nani kati yako na yeye yuko kwenye fikra za kitumwa? Wewe pamoja na kuwa unajiita mwakilishi wa wanawake bunge ni lakini hata ukikuta kijiji kizima wanawake wanakaribia kufa njaa kutokana na ukame kwa utumwa wa fikra ulio nayo utaogopa kutanfaza kuna njaa kwa vile mtu mmoja kawakataza kuwa na Uhuru wa mawazo tofauti naye. Huo ndio utumwa anbao DC Uyui kawaonyesha njia jinsi ya kujiweka huru
 
Hivi nani kati yako na yeye yuko kwenye fikra za kitumwa? Wewe pamoja na kuwa unajiita mwakilishi wa wanawake bunge ni lakini hata ukikuta kijiji kizima wanawake wanakaribia kufa njaa kutokana na ukame kwa utumwa wa fikra ulio nayo utaogopa kutanfaza kuna njaa kwa vile mtu mmoja kawakataza kuwa na Uhuru wa mawazo tofauti naye. Huo ndio utumwa anbao DC Uyui kawaonyesha njia jinsi ya kujiweka huru
Nataka kukuondoa minyororo ya utumwa hapo ufipa
 
Nataka kukuondoa minyororo ya utumwa hapo ufipa
Jibu swali, wewe na yeye nani yuko utumwani kama wewe waweza kunuona mtu ananjaa lakini ukaogopa kusema kwa vile dikteta mmoja hataki kusikia jina hilo likitajwa?
Humo kuna kitu sio kawaida maana sio Samoa, Khasimu wala Abrahamani wenye ubavu wa kusema wanachoamini ni woga tuu. Ndio utumwa wa mawazo, sasa nyie vuvuzela ndio kabisaaaa, midomo kama mmesukutua na suoerglue
 
Jibu swali, wewe na yeye nani yuko utumwani kama wewe waweza kunuona mtu ananjaa lakini ukaogopa kusema kwa vile dikteta mmoja hataki kusikia jina hilo likitajwa?
Humo kuna kitu sio kawaida maana sio Samoa, Khasimu wala Abrahamani wenye ubavu wa kusema wanachoamini ni woga tuu. Ndio utumwa wa mawazo, sasa nyie vuvuzela ndio kabisaaaa, midomo kama mmesukutua na suoerglue
Kazi yangu ni kukuondoa kwenye minyororo ya utumwa.
 
Kazi yangu ni kukuondoa kwenye minyororo ya utumwa.
Kazi yako ni kuwakilisha wanawake bunge ni na imekushinda umebaki na majungu na kufuata fuata Vijana wanasiasa wa kiume kutafuta attention yao.
 
Kwa iyo hii mada mlipewa kwenye kikao mje mposti sasa mwenzio kakuwahi? Hautolipwa sasa dah pole! Mkishaambiwa kaposti usichelewe wahi uposti ili ulinde daily bread yako!

Umeniwai kupost kitu hii
 
Hivi ccm mbona Lowassa haishi midomoni mwenu kasahau nini kwenu si aliamua mwenyewe sasa unachoombea kwa CDM ni kuimarika pamoja na kuzuia mikutano tunapeta tu
 
Nitahakikisha unapata Uhuru dogo
Unaniita dogo! JS bwana unanipa raha wakati mwingine. Naweza kuwa hata baba yako kama sio mzazi basi wa kufikia. Hizi lugha unazoziona ni kwa vile tumesoma na kuzeekea mjini tuu.
Hatukuletwa na mbio za mwenge au kusalimia ndugu hivyo kwako wewe wawedha kudhani ni za dogo kama wewe.
 
Back
Top Bottom