Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sugu anahamia chama gani?Naam jicho la tatu limeshachungulia wanaChadema kindai ndaki wameshaamka sasa ni wazi wazi wantamka maneno makali yenye kuonyesha kutoridhishwa na uwepo wa Lowassa ndani ya chamn na upande mwingine wa shilingi yaani Team Lowassa wao wanajipanga na wameweza kupandikiza watu wao katika vikao vya maamuzi, naaum mbegu imepandwa na imeota sasa inamea, naaaum mmea wenyewe ni miba mikali sasa inachoma.
Kwa 'makamanda' Lowassa si tena raisi wa mioyo yao kama walivyomwita Dr.Slaa kwa miaka mitano mfululizo kabla ya kurubuniwa mwaka 2015 lakini kwa teamLowassahuwaimbii kitu. Kwa haraka haraka nyufa nyingi zimetokea kiasi kisichoelezeka na huenda 'jumba' likalemewa na kuanguka.
Naaam, 'ajizi nyumba ya njaa' kama ambavyo waswahili walivyonena..kwa sasa Zitto ameonekana kufurahiwa na 'makamanda' wakijuta sasa kumpoteza, kila mtu sasa anafutilia kauli za Zitto kwenye mitandao na mikutano na kuhakikisha zinasambaa kwa watu wengi wakati huohuo 'makamanda' wamelaani tabia ya Mbowe kuwachagulia viongozi kwenye kanda za kiutawala ndani ya chama hadi kupelekea makumi na mamia ya viongozi wa mashina kufa moyo na baadhi kujiuzuru. Kuelekea uchaguzi ndani ya chama na hata uchaguzi mkuu mwaka 2020 njia ni nyeupe na ninawaona baadhi ya wabunge wa sasa wa Chadema haswa wale wasiotokea kanda ya kaskazini na wanachama waandamizi wakihamia ACT Wazalendo na kuendelea na harakati zao kisiasa wakimsusia chama ndugu Lowassa na Mbowe.
Na chakufurahisha zaidi kafulila atagombea ubunge huko Kigoma mwaka 2020 kupitia ACT wazalendo na si Chadema ni suala la muda tu.
Nawasilisha.
Kuishabikia ccm Inatakiwa Ujipunguze Akili Kama Sivyo Hauwezi Kua Mwanachama wa ccmWenye akili tumekuelewa, lakini Mazuzu CHADEMA yatakupinga. Na hawaoni dalili wao ni kuongea tu bila kufikiri. Hilo nasisitiza litatokea tu. Maana Chadema sasa wamekwisha no way to go.
Jielekeze kwenye hojaVyanzo vyako vya habari.
Kuna post moja niliona kuwa chadema kwa sasa ipo makundi matatu.
Je kwa sasa kafulila kajichomeka cdm yupo team ipi
Jielekeze kwenye hoja...mwambie alipe kodiWamemshindwa Mbowe sasa wanakimbilia Kwenye Mali zake,
Chadema ni chama cha upinzani hata mwalimu Nyerere akiona mapema kabisa bado kidogo.
Alitoa kauli hii, Sioni upinzani Tanzania labada Chadema, Hiki chama naona kina misingi kama wakiisimamia ni Chama kizuri,
Na ndio maana hata Lowassa, Kingunge , Sumae waliliona hilo.
kwahiyo kwa mbinu za kununua Upinzani utaishia kwa NCCR ya Mrema, CUF ya Lipumba sio ya Seifu siii Chadema,
Jitahidini kuchonganisha tu Mitandaoni na kwingine sii kununua Viongozi na kufanikiwa kuua chama, Chadema ni Taasisi kubwa sana,
Mnakumbuka mlimnunua nani na nini kilitokea?
Jikite kwenye hoja.Kuishabikia ccm Inatakiwa Ujipunguze Akili Kama Sivyo Hauwezi Kua Mwanachama wa ccm
Tanzania ni Nchi ya Viwanda Hapa Kazi Tu.!
Kiongozi Atakae Sema Mkoa wake una Njaa Ajiandae Kuacha Kazi.
Tanzania Imepanga Kutoa Mahindi ya Chakula tani Million 1.5
Watakaovaa Ma T-shirt Yaliyoandikwa Njaa Kukamatwa.
Jikite kwenye hojaKuna wizi mpya wa pesa za umma,Wajanja baada ya kugundua mkulu hapendi Wapinzani wameamua kubuni miladi mikubwa ya kula pesa za Umma kama Lipumba anavyozitafuna kiulaini.
Jikite kwenye hoja wewe kibaraka wa Tundu.Halafu utasema umebanwa na masomo ya Ph.D na hivyo huonekani JF. Shame!
Kweli mkuu hali mbaya Lumumba hata kazi ya kusafisha vyoo haipatikaniEndelea kupiga ramli sie tunasonga mbele... lkn maisha yamekuwa magumu sana kwa wenzetu wa ccm, lazima mjitoe ufahamu ili mkono uende kinywani
Jielekeze kwenye hojaRubbish 100%
Jikite kwenye hoja.Kweli mkuu hali mbaya Lumumba hata kazi ya kusafisha vyoo haipatikani
Ajikite kwenye hoja gani hapo? Unaandika upupu kisha unawaomba wachangiaji wajikite kwenye hoja?Jikite kwenye hoja.
UsimjibieAjikite kwenye hoja gani hapo? Unaandika upupu kisha unawaomba wachangiaji wajikite kwenye hoja?
Jikite kwenye hojaNdiyo maana hatupati mvua. Ni kwa sababu ya kuongezeka watu wenye mawazo ya hovyo hovyo kama huyu. Mungu hapendi haya mambo.
Hawa Chadema walishaambiwa toka mapema kumkaribisha Lowassa ndani ya chama ndio mwanzo wa anguko lao, nasikia hali ni mbaya ndani ya chama, hata vile viposho vya sh 50000/= vimeyeyuka, Tundu Lissu analia njaa ndio maaana anaimbuka na hoja zisizo na msingi kujaribu kutoka, lakini kila anapojaribu anakwama, dawa ni moja tu kama ni wajasiri wamfukuze LOWASSA.Naam jicho la tatu limeshachungulia wanaChadema kindai ndaki wameshaamka sasa ni wazi wazi wantamka maneno makali yenye kuonyesha kutoridhishwa na uwepo wa Lowassa ndani ya chamn na upande mwingine wa shilingi yaani Team Lowassa wao wanajipanga na wameweza kupandikiza watu wao katika vikao vya maamuzi, naaum mbegu imepandwa na imeota sasa inamea, naaaum mmea wenyewe ni miba mikali sasa inachoma.
Kwa 'makamanda' Lowassa si tena raisi wa mioyo yao kama walivyomwita Dr.Slaa kwa miaka mitano mfululizo kabla ya kurubuniwa mwaka 2015 lakini kwa teamLowassahuwaimbii kitu. Kwa haraka haraka nyufa nyingi zimetokea kiasi kisichoelezeka na huenda 'jumba' likalemewa na kuanguka.
Naaam, 'ajizi nyumba ya njaa' kama ambavyo waswahili walivyonena..kwa sasa Zitto ameonekana kufurahiwa na 'makamanda' wakijuta sasa kumpoteza, kila mtu sasa anafutilia kauli za Zitto kwenye mitandao na mikutano na kuhakikisha zinasambaa kwa watu wengi wakati huohuo 'makamanda' wamelaani tabia ya Mbowe kuwachagulia viongozi kwenye kanda za kiutawala ndani ya chama hadi kupelekea makumi na mamia ya viongozi wa mashina kufa moyo na baadhi kujiuzuru. Kuelekea uchaguzi ndani ya chama na hata uchaguzi mkuu mwaka 2020 njia ni nyeupe na ninawaona baadhi ya wabunge wa sasa wa Chadema haswa wale wasiotokea kanda ya kaskazini na wanachama waandamizi wakihamia ACT Wazalendo na kuendelea na harakati zao kisiasa wakimsusia chama ndugu Lowassa na Mbowe.
Na chakufurahisha zaidi kafulila atagombea ubunge huko Kigoma mwaka 2020 kupitia ACT wazalendo na si Chadema ni suala la muda tu.
Nawasilisha.