Tetesi: Kifuatacho: Mtafaruku wa CHADEMA na TeamLowassa kuinufaisha ACT Wazalendo, Kafulila kumfuata Zitto

Tetesi: Kifuatacho: Mtafaruku wa CHADEMA na TeamLowassa kuinufaisha ACT Wazalendo, Kafulila kumfuata Zitto

Tangu Kanisa Katoliki lirudi CCM baada ya Jk kuondoka Chadema wanapita kipindi Kigumu sana
 
Njaa na ukame umewafanya Wajanja wabubni maneno ya fitna kupeleka kwa mkulu wapate pesa yaani mpaka kufika 2020 atajikuta hana kiwanda kwani pesa zote zitapotelea kwa Wajanja wa siasa za maji taka.
 
Ha ha haaa,wakudadavua bana,kila siku anaumiza kichwa jinsi gani aichafue chadema au viongozi wake huku jf,ndio hivo anatetea ugali wake,maana kaajiriwa kwa ajili hii.mmuache kama alivyo.akilala anawaza atakuja na thread gani!...umiza kichwa mkuu,la sivyo kazi huna
 
Wamemshindwa Mbowe sasa wanakimbilia Kwenye Mali zake,
Chadema ni chama cha upinzani hata mwalimu Nyerere akiona mapema kabisa bado kidogo.

Alitoa kauli hii, Sioni upinzani Tanzania labada Chadema, Hiki chama naona kina misingi kama wakiisimamia ni Chama kizuri,
Na ndio maana hata Lowassa, Kingunge , Sumae waliliona hilo.
kwahiyo kwa mbinu za kununua Upinzani utaishia kwa NCCR ya Mrema, CUF ya Lipumba sio ya Seifu siii Chadema,
Jitahidini kuchonganisha tu Mitandaoni na kwingine sii kununua Viongozi na kufanikiwa kuua chama, Chadema ni Taasisi kubwa sana,

Mnakumbuka mlimnunua nani na nini kilitokea?
Mkuu usishangae,wakudadavua kaajiriwa kwa kazi hii,fuatilia thread zake toka ajiunge humu ni kutukana chadema,lowasa au mbowe,hamjamgundua tu
 
DAAAAH hawa ndo mathink tank wa CCM,kweli hili balaa la karne
Ila rudini mkajipange 2020 si mbali
Mmejaribu kiki nyingi sana kuwaondoa watu mchezon lakin waaaapi.
Juzi mlikuja na ushindi wenu wa udiwan na ubunge kumbe mkajikuta mnajitekenya na kucheka wenyewe,mwenzenu Lizaboni kausoma mchezo na kuona limebuma,akaamua kuja na ile kata ya tanga songea.
Haya nawe umekuja kivyakovyako tena kujaribu kuitendea haki buku7.
By the way hebu nenda kakaen chin na wazee kama wassira na kinana wawaambie wameishindwa vp CDM mpaka sasa haijafa ili nyinyi muanzie hapo
Sasa ukipata kata 1 kati ya 22 , you are dead, sema mnajitutumua tu. We ni mshabiki tu lakini hali ya viongozi wako wa chama sio nzuri
 
Nyie Ukoo wa Akina Lizaboni sijui mna nini yaani kutwa mipango yenu ni Uchonganishi,kutwa ni kukaa kubuni mbinu za kuwavuruga Wapinzani ili CCM itawale milele.
Hua wanapeana shift kila mtu aje na habari gani,saiv kaanza wakudadavua,badae au kesho anakuja lizaboni na habari yake nyingine,ndio kazi zao zinazowaweka mjini.hawaajiriki kwingine,watakula wapi?
 
Sisimizi kavutwa na EL. Maana tangu amekimbizwa zamani hizo walikuwa hawaivi na mbowe kabisa. Si tunajua siasa zetu mipango.
Vyanzo vyako vya habari.
Kuna post moja niliona kuwa chadema kwa sasa ipo makundi matatu.

Je kwa sasa kafulila kajichomeka cdm yupo team ipi
 
Mnahangaika na kesi za kuku na huku watu hawana mahitaji ya msingi kama chakula na maji.
 
@Wakudadavua umekaa hapo Lumumba miaka nenda rudi hupandishwi cheo, leo kaja Polepole hata hana mizizi kwenye chama amekuwa Msemaji wa chama. Mmebaki kubwabwaja tu mitandaoni huna lolote
 
Ngoja tuone lizaboni nae atakuja na habari gani,yupo chimbo anaumiza kichwa saiv,atokeje!....stay tuned!.....wanapeanaga shift
 
Ngoja tuone lizaboni atakuja na habari gani,hua wanapeana shift!...stay tuned!....
 
Wamemshindwa Mbowe sasa wanakimbilia Kwenye Mali zake,
Chadema ni chama cha upinzani hata mwalimu Nyerere akiona mapema kabisa bado kidogo.

Alitoa kauli hii, Sioni upinzani Tanzania labada Chadema, Hiki chama naona kina misingi kama wakiisimamia ni Chama kizuri,
Na ndio maana hata Lowassa, Kingunge , Sumae waliliona hilo.
kwahiyo kwa mbinu za kununua Upinzani utaishia kwa NCCR ya Mrema, CUF ya Lipumba sio ya Seifu siii Chadema,
Jitahidini kuchonganisha tu Mitandaoni na kwingine sii kununua Viongozi na kufanikiwa kuua chama, Chadema ni Taasisi kubwa sana,

Mnakumbuka mlimnunua nani na nini kilitokea?
Enzi zile kweli CHADEMA ilikuwa sio mchezo lakini ndio hivyo tena, mwenyekiti hatimae akachanga karata vibaya , akachanganya M4C na 4U Movement, kilichotokea baada ya huo mchanganyiko unanikumbusha movie moja maarufu sana ya John Travota na Nicolas Cage inayoitwa FACE/OFF, kila mmoja anaongea lake, wakati M4C wanafikiria uanaharakati as Method ya kukuza chama, 4U Movement wasiokijua chama ila wapo purposely kwa ajili ya URAIS wanaona hiyo inaweza kuwakosesha kura 2020, na mzee mpaka anajisahau anajipigia debe ya urais 2020 kwenye kampeni za udiwani, sasa sijui mgombea hamjui au anamjua hiyo ni yeye,
Matokeo ya uchaguzi mdogo yamewafanya M4C kuanza kufikiri kuwa inawezekana yameharibika kwa sababu ya uwepo wa 4U Movement, na inawezekana 4U Movement yasiwaume sana haya matokeo kwa sababu interest yao ni urais wa Lowasa na sio udiwani au ubunge wa mtu mwingine
 
Hamna jinsi ni lazima muendelee kuwanga hata mchana maana hirizi yenu imekwisha kukojolewa haifanyi kazi. Unalipwa kwa kazi hiyo endelea kubwabwaja watoto waende chooni.
 
We utakua mchawi wewe jicho là tatu tena ???? Mh aisee inaonekana hata maisha yako na plan zako zote Ni za kufikirika hivyo hivyo hahahaha
 
Back
Top Bottom