KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Ndugu yangu kama wewe unazipata "Papuchi" kiwepesi basi wewe una bahati.....wenzako wanazipata kwa mbinde.....Imagine utumie your 20's and 30's behind bars kwa sababu ya papuchi mnato tu, tena ya hovyo hovyo tu.
Kama hiyo kesi ya ubakaji angeshtakiwa na kuhukumiwa huyo anae tuhumiwa kuwa mhusika mkuu "Afande Fatuma", huo utetezi ulio uandika hapo juu ungekua na mashiko.Je hawawezi kukata rufaa? Maana mtuhumiwa mkuu hajaunganishwa
Watatoka wamezeekaImagine utumie your 20's and 30's behind bars kwa sababu ya papuchi mnato tu, tena ya hovyo hovyo tu.
Kakosea timing akataka zaidi.. Sasa naye ni mfungwa mtarajiwaUkiskia ntu ya dili, ndo huyo mkuu wa gereza sasa 😄, Ni basi tu ili backfire, lkn alikua anaiona harrier hii hapa
Watatoka wamezeekaImagine utumie your 20's and 30's behind bars kwa sababu ya papuchi mnato tu, tena ya hovyo hovyo tu.
Duniani ni sheria haki ni kwa Mungu🙇🏿♂🙇🏿♂🙇🏿♂Kama hiyo kesi ya ubakaji angeshtakiwa na kuhukumiwa huyo anae tuhumiwa kuwa mhusika mkuu "Afande Fatuma", huo utetezi ulio uandika hapo juu ungekua na mashiko.
Rejea kesi ya mauaji ya wafanya biashara madini iliyokua inamkabili kamishna wa polisi Abdalla Zombe na wenzake.
Kwa kufupisha siku ya hukumu jaji alisema, kulingana na ushaidi ulio tolewa mahakamani.
Alie tekeleza mauaji hayo koplo Assad Alawi(mtuhumiwa mkuu), ambaye alitajwa ndiye aliefyatua risasi hakua miongoni ya walioshtakiwa. Alitoloka kabla ya kukamatwa . Basi kesi ya watuhumia wengine haina mashiko. Then akawaacha huru wakina zombe.
kama maafande ndi wakamataji ndio watunga kesi ndio wabambikaji unatarajia watamtaja mwenzao ili naye akanyee ndoo, nchi hiyo kimsingi ina shida nyingi sana.Hii sio good news ever.
Labda huelewi.
Kifungo cha maisha/Life sentence (L.S) haitawafundisha kitu hawa vijana. Kwanini nasema hivi.
1. L.S hawafanyi adhabu nje ya ngome ambazo ndio ngumu kumrekebisha mhalifu. Wao ni watu wa ndani tu kula na kulala. Wanaohukumiwa adhabu chini ya kifungo cha maisha, mfano niliyopata hupokea adhabu kali za nje ya ngome.
2. L.S hawalalii virago vibovu, wao magodoro na blanket ni nzuri na hawalali mabweni (Cells) zilizochakaa wao ni second high class baada ya #condemned.
- Nyundo na wenzake wakutwa na hatia, wahukumiwa kifungo cha Maisha Jela
3. Kulingana na sheria zetu hawa wakikaa miaka 20 wanaachiwa like hawakufanya lolote vile, sawa wanakuwa wamepoteza lkn hiyo 4m anayopewa victim haitamsaidia kitu, nikwambie na wakitoka huyo victim atakuwa 40'yrs old na hilo kwake halitakuwa limesahaulika.
4. Mind you huku uraiani ukiwa Public servant ukafanya kosa unachukiwa na kuzomewa ILA ukiingia JELA wewe ni Top Boss siku si chache atapewa mkanda na ataheshimiwa maana kule hakuna anayedeal na ulichofanya uraiani.
Huyu anaenda kustarehe...
ISITOSHE ana rufaa huyu akienda COURT OF APPEAL tutamuona uraiani nimesoma ground za kushinda ni nyingi kwasbb ya ubovu wa sheria zetu.
Mtakuja kuniambia.
Nilitegemea wafungwe miaka 30
Ambayo hii ukiappeal kwenda Court of Appeal kulingana na makosa yao wangekaa gerezani km miaka 5 hivi ndio waitwe Mahakamani.
Kwahiyo km wangepewa sentence ya 30's wangefanya adhabu za nje zote ngumu pia wangekuwa na vigezo vya kupelekwa magereza ya adhabu km kule Songea, mpk wanakuja kuitwa Mahakama wamenyooka.
PILI, ikitokea rufaa imegoma inawapandisha kifungo cha maisha ambapo napo kutoka ni mtihani
Credit: Eng_Matarra X
Mshana hivi wanaweza kupata conjugal Rights like kutembelewa na wandani wao na kupata faragha kidogo?Watatoka wamezeeka
Duniani ni sheria haki ni kwa Mungu🙇🏿♂🙇🏿♂🙇🏿♂
Hiyo sheria haipo Tanzania japo uko Duniani fresh tu.Mshana hivi wanaweza kupata conjugal Rights like kutembelewa na wandani wao na kupata faragha kidogo?
Kwahoyo mkuu mie nabanduliwaaa? Hebu tuheshimiane banaa lugha ya kifedhuli si lugha yangu na sipendi mtu aitumie kwangu.Kuna Watu humu mnabanduliwa ila hamtaki kujitangaza wazi, unataka utaratibu upi? Kesi imeendeshwa kwa faragha ni lini ulihudhuria mahakamani?
Hao mbwa hukohuko jela lazima watafutiwe mabwana wa kuwafumuwa mitaro.
Huyu braza wakili ni mwana sana , means tena mwana mnoo....tulikuwaga na kesi hapo dodoma mimi na wenzangu alikuwa anatununulia sana supu chapati kwenye mgahawa tena bure kabisaa pamoja na kututia moyo, respect bro
Wakili kesha wachomesha mahindi kina Nyundo sasa anajizima data mbele ya waandishi!Huyu wakili sasa[emoji3064]
View attachment 3114968
Wanakuja kudedishwa kitaa kwa kifo cha kutatanishaWataachiwa tu hata mwaka hawatakaa ndani
Ndo unatumia jina Hilo kumbe kule twitter?! 🤔Ni makala ya Eng. Matarra wa Twitter X nimeileta hapa kujadiliwa.. Mwisho wa mada nimemtaja waziwazi
Unanikumbusha kipindi Mkuu wa mkoa Dar mstaafu alipoteuliwa kuwa katibu mwenezi wa chama tawala alivyompigiaga simu Mchengerwa akawa anamvimbia eti LIVE jukwaani na kamuweka loudspeaker na kina Mama wanashangilia Mchengerwa anapewa maagizo na Bashite 😂Maagizo ni maigizo Tanzania