Kifungo cha maisha kwa wabakaji waliotumwa na afande siyo habari njema

Kifungo cha maisha kwa wabakaji waliotumwa na afande siyo habari njema

Je hawawezi kukata rufaa? Maana mtuhumiwa mkuu hajaunganishwa
Kama hiyo kesi ya ubakaji angeshtakiwa na kuhukumiwa huyo anae tuhumiwa kuwa mhusika mkuu "Afande Fatuma", huo utetezi ulio uandika hapo juu ungekua na mashiko.

Rejea kesi ya mauaji ya wafanya biashara madini iliyokua inamkabili kamishna wa polisi Abdalla Zombe na wenzake.
Kwa kufupisha siku ya hukumu jaji alisema, kulingana na ushaidi ulio tolewa mahakamani.

Alie tekeleza mauaji hayo koplo Assad Alawi(mtuhumiwa mkuu), ambaye alitajwa ndiye aliefyatua risasi hakua miongoni ya walioshtakiwa. Alitoloka kabla ya kukamatwa . Basi kesi ya watuhumia wengine haina mashiko. Then akawaacha huru wakina zombe.
 
Imagine utumie your 20's and 30's behind bars kwa sababu ya papuchi mnato tu, tena ya hovyo hovyo tu.
Watatoka wamezeeka
Kama hiyo kesi ya ubakaji angeshtakiwa na kuhukumiwa huyo anae tuhumiwa kuwa mhusika mkuu "Afande Fatuma", huo utetezi ulio uandika hapo juu ungekua na mashiko.

Rejea kesi ya mauaji ya wafanya biashara madini iliyokua inamkabili kamishna wa polisi Abdalla Zombe na wenzake.
Kwa kufupisha siku ya hukumu jaji alisema, kulingana na ushaidi ulio tolewa mahakamani.

Alie tekeleza mauaji hayo koplo Assad Alawi(mtuhumiwa mkuu), ambaye alitajwa ndiye aliefyatua risasi hakua miongoni ya walioshtakiwa. Alitoloka kabla ya kukamatwa . Basi kesi ya watuhumia wengine haina mashiko. Then akawaacha huru wakina zombe.
Duniani ni sheria haki ni kwa Mungu🙇🏿‍♂🙇🏿‍♂🙇🏿‍♂
 
Hii sio good news ever.

Labda huelewi.

Kifungo cha maisha/Life sentence (L.S) haitawafundisha kitu hawa vijana. Kwanini nasema hivi.

1. L.S hawafanyi adhabu nje ya ngome ambazo ndio ngumu kumrekebisha mhalifu. Wao ni watu wa ndani tu kula na kulala. Wanaohukumiwa adhabu chini ya kifungo cha maisha, mfano niliyopata hupokea adhabu kali za nje ya ngome.

2. L.S hawalalii virago vibovu, wao magodoro na blanket ni nzuri na hawalali mabweni (Cells) zilizochakaa wao ni second high class baada ya #condemned.

- Nyundo na wenzake wakutwa na hatia, wahukumiwa kifungo cha Maisha Jela

3. Kulingana na sheria zetu hawa wakikaa miaka 20 wanaachiwa like hawakufanya lolote vile, sawa wanakuwa wamepoteza lkn hiyo 4m anayopewa victim haitamsaidia kitu, nikwambie na wakitoka huyo victim atakuwa 40'yrs old na hilo kwake halitakuwa limesahaulika.

4. Mind you huku uraiani ukiwa Public servant ukafanya kosa unachukiwa na kuzomewa ILA ukiingia JELA wewe ni Top Boss siku si chache atapewa mkanda na ataheshimiwa maana kule hakuna anayedeal na ulichofanya uraiani.

Huyu anaenda kustarehe...

ISITOSHE ana rufaa huyu akienda COURT OF APPEAL tutamuona uraiani nimesoma ground za kushinda ni nyingi kwasbb ya ubovu wa sheria zetu.

Mtakuja kuniambia.

Nilitegemea wafungwe miaka 30

Ambayo hii ukiappeal kwenda Court of Appeal kulingana na makosa yao wangekaa gerezani km miaka 5 hivi ndio waitwe Mahakamani.

Kwahiyo km wangepewa sentence ya 30's wangefanya adhabu za nje zote ngumu pia wangekuwa na vigezo vya kupelekwa magereza ya adhabu km kule Songea, mpk wanakuja kuitwa Mahakama wamenyooka.

PILI, ikitokea rufaa imegoma inawapandisha kifungo cha maisha ambapo napo kutoka ni mtihani
Credit: Eng_Matarra X
kama maafande ndi wakamataji ndio watunga kesi ndio wabambikaji unatarajia watamtaja mwenzao ili naye akanyee ndoo, nchi hiyo kimsingi ina shida nyingi sana.
 
Watatoka wamezeeka

Duniani ni sheria haki ni kwa Mungu🙇🏿‍♂🙇🏿‍♂🙇🏿‍♂
Mshana hivi wanaweza kupata conjugal Rights like kutembelewa na wandani wao na kupata faragha kidogo?
 
Kuna Watu humu mnabanduliwa ila hamtaki kujitangaza wazi, unataka utaratibu upi? Kesi imeendeshwa kwa faragha ni lini ulihudhuria mahakamani?

Hao mbwa hukohuko jela lazima watafutiwe mabwana wa kuwafumuwa mitaro.
Kwahoyo mkuu mie nabanduliwaaa? Hebu tuheshimiane banaa lugha ya kifedhuli si lugha yangu na sipendi mtu aitumie kwangu.
Tuelekezane kwa fact au hata kwa uelewa wa kawaida tu
 
Huyu wakili sasa🥺
 
Ni makala ya Eng. Matarra wa Twitter X nimeileta hapa kujadiliwa.. Mwisho wa mada nimemtaja waziwazi
Ndo unatumia jina Hilo kumbe kule twitter?! 🤔

Ila unaandikaga madudu kweli sometimes Engineer matarra kule twitter 😅🙌🏾
 
Maagizo ni maigizo Tanzania
Unanikumbusha kipindi Mkuu wa mkoa Dar mstaafu alipoteuliwa kuwa katibu mwenezi wa chama tawala alivyompigiaga simu Mchengerwa akawa anamvimbia eti LIVE jukwaani na kamuweka loudspeaker na kina Mama wanashangilia Mchengerwa anapewa maagizo na Bashite 😂

Nilicheka! 🙌🏾
 
Back
Top Bottom