johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hapo Kenya siyo Kesi tu bali hata usahili wa kumpata Jaji mkuu hufanywa hadharani kupitia Runinga zote.
Usaili wa kumpata Inspector General wa police hufanywa mubashara ndani ya bunge
Tanzania tunafeli wapi?
Usaili wa kumpata Inspector General wa police hufanywa mubashara ndani ya bunge
Tanzania tunafeli wapi?