Kifungu kinacho zuia haki

Kifungu kinacho zuia haki

josam

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2011
Posts
2,252
Reaction score
1,041
Waungwana,
Katika katiba pendekezwa, kumetajwa haki mbali mbali mfn za akina mama, wazee, vijana, watoto, wasanii, wakulima, wafugaji, nk. Je, kuna kifungu kinacho kataza baadhi ya haki hizo kudaiwa mahakamani iwapo zimekiukwa?

Karibu kwa maoni.
 
Waungwana,
Katika katiba pendekezwa, kumetajwa haki mbali mbali mfn za akina mama, wazee, vijana, watoto, wasanii, wakulima, wafugaji, nk. Je, kuna kifungu kinacho kataza baadhi ya haki hizo kudaiwa mahakamani iwapo zimekiukwa?

Karibu kwa maoni.
kwani we ulivyoisoma hiyo katiba umegundua nini maana unauliza swali la mtego hv!
 
Naendelea kuipitia, nilidhani kuna aliye na jibu haraka...
 
Waungwana,
Katika katiba pendekezwa, kumetajwa haki mbali mbali mfn za akina mama, wazee, vijana, watoto, wasanii, wakulima, wafugaji, nk. Je, kuna kifungu kinacho kataza baadhi ya haki hizo kudaiwa mahakamani iwapo zimekiukwa?

Karibu kwa maoni.

Ndg yangu josam, Kazi ya mahakama ni kusikiliza malalamiko ya watu kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu kalingana na haki anayodai mlalamikaji. Hivyo, kupitia Katiba Inayopendekezwa kama sheria mamakuhusu "Usimamizi wa haki za binadamu" soma ibara ya 65 (1) hadi (6), utapata elimu nzuri sana kuhusu usimamizi wa haki za binadamu.
 
Back
Top Bottom