Kifupi sisi hatuna culture ya kuwa na vision na kuweka goals, tunaelea tu.....

Mwanakijiji una maelezo mazuri marefu yanayolenga historia yetu kiuongozii kwa mapana.

Unasema Mwalimu alikuwa na dira ya kutufanya tujitegemee kwa yeye kusimamia hayo yote (maendeleo ya viwanda nk) uliyobainisha.

Wasiwasi wangu ni je kwa ni nn Mwalimu kama kiongozi pekee mkuu wa taifa hili inakuwaje aliyetawala kwa kipindi kirefu misingi yake ya uongozii iyumbee kwa muda mfupi namna hiyoo baada ya yeye tena kuwaachia wanachama wa chama chake (tukianzia na sera ya Ruksa na kuendeleaa)...

Bado taifa hili halijaweza kuwa na misingi imara na thabiti ya maendeleo ya watu wake..suala la amani, umoja wa kitaifa na ukarimu wa watanzania nacheleaa kukubali ni asili yaoo zaidi kuliko uhamasishaji wa kisiasa uliofanywa na viongozi.

Mataifa mengi yaliyosonga mbele kimaendeleo yanajivunia misingi imara iliyowekwaa na waasisi wake katika nyanja mbali mbali za maendeleo. Ndo maana Afrika haihitaji watu imara bali taasisi imara za kusimamiaa masilahi ya nchi hizoo..Umeonyesha wasiwasi wa Rwanda baada ya Kagame kuondoka madarakani kwa sababu unaamini katika uimara wa MTU na sio TAASISI...

Tanzania kama Taifa tunahitaji dira ya kuwa na taasisi imara (Serikali, Bunge, Mahakama) katika kusimamiaa maendeleo ya wananchi wake.Hiii yote yawezekana kwa kupata viongozi wenye DIRA ya kusimamia utekelezaji huo kuwepoo.
 
Mwanakijiji una maelezo mazuri marefu yanayolenga historia yetu kiuongozii kwa mapana.

Unasema Mwalimu alikuwa na dira ya kutufanya tujitegemee kwa yeye kusimamia hayo yote (maendeleo ya viwanda nk) uliyobainisha.

Wasiwasi wangu ni je kwa ni nn Mwalimu kama kiongozi pekee mkuu wa taifa hili inakuwaje aliyetawala kwa kipindi kirefu misingi yake ya uongozii iyumbee kwa muda mfupi namna hiyoo baada ya yeye tena kuwaachia wanachama wa chama chake (tukianzia na sera ya Ruksa na kuendeleaa)...

Bado taifa hili halijaweza kuwa na misingi imara na thabiti ya maendeleo ya watu wake..suala la amani, umoja wa kitaifa na ukarimu wa watanzania nacheleaa kukubali ni asili yaoo zaidi kuliko uhamasishaji wa kisiasa uliofanywa na viongozi.

Mataifa mengi yaliyosonga mbele kimaendeleo yanajivunia misingi imara iliyowekwaa na waasisi wake katika nyanja mbali mbali za maendeleo. Ndo maana Afrika haihitaji watu imara bali taasisi imara za kusimamiaa masilahi ya nchi hizoo..Umeonyesha wasiwasi wa Rwanda baada ya Kagame kuondoka madarakani kwa sababu unaamini katika uimara wa MTU na sio TAASISI...

Tanzania kama Taifa tunahitaji dira ya kuwa na taasisi imara (Serikali, Bunge, Mahakama) katika kusimamiaa maendeleo ya wananchi wake.Hiii yote yawezekana kwa kupata viongozi wenye DIRA ya kusimamia utekelezaji huo kuwepoo.
 

Mzee Mwanakijiji, heshima mbele mkuu, ni kweli kabisa kuwa tatizo kubwa tulilonalo linalopelekea tusiwe na maendeleo ni uongozi. Mimi nitatoa mfano wa nchi yetu Tanzania enzi za Mwalimu; katika jitihada za kujitosheleza na wataalam Mwalimu aliwapeleka wanafunzi wengi miaka ya sitini hadi thememanaini kusoma nje ya nchi na wengi wao walihitimu na unlike other African countries watanzania wengi walirudi nyumbani kufanya kazi na hawakuzamia huko majuu!! Wataalam wetu walikuwa na nafasi za kufanya kazi huko ughaibuni lakini wengi wao walirudi kwa sababu ya uongozi wa wakati huo; wakati ule viongozi walikuwa wanaonesha mfano kwa kutenda yale waliyoyahubili, kwa kifupi hawakuwa wanafiki na hiyo ndio ilikuwa chachu iliyowavutia wataalam wengi kurudu nyumbani kuijenga nchi yao!! Nitakwenda mbali zaidi na kusema kuwa hata ile vita ya Kagera dhidi ya Amin, tuliweza kumshinda kwasababu ya uongozi imara tuliokuwa nao ulioweza kuwaunganisha wananchi pamoja na viongozi wao kuwa kitu kimoja , leo hii Mungu apishe mbali sidhani kama nchi yetu ina uongozi wa kuleta umoja wa kitaifa unaoweza kuhimili janga kama lile!! kwakifupi nakubaliana na wewe kuwa the buck for the plight we are in stops with the LEADERSHIP period.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…