Kifurushi cha siku 7: Je, mtani huu mziki anauweza?

Kifurushi cha siku 7: Je, mtani huu mziki anauweza?

Good morning Tanganyika!
Leo sisi ni shangwe tu Maana akishinda SIMBA limeshinda taifa na huu sio ushindi wa kawaida ni ushindi wa kumfunga mgeni goli nyingi kwenye mechi ya kimataifa. Na si mechi ya kirafiki.

Shirikisho la mpira Africa CAF hawakusubiri kukuche. Wameupa thamani ya pekee ushindi wa SIMBA wa magoli 7 dhidi ya Horoya kama ushindi wa kihistoria tangu kuanzishwa kwa shirikisho hilo. SIMBA imetengeneza rekodi nyingine! Inastahili heshima, inastahili pongezi.

Karamu ya mabao na vipigo vya goli nyingi si jambo geni kwa mnyama. Hata mtani YANGA alishawahi kupokea hamsa nunge yaani 5 kwa sifuri na hajaweza kamwe kulipa hicho kisasi. Ushindi wake mara zote umekuwa wa kinyonge kama vijana wa kileo kitandani.

Niliposema nitasimama na SIMBA nilimaanisha na nilijua kwa hakika ninachokiongea Leo ni zamu ya mtani.. Ana kihoro cha mechi najua hajui matokeo yatakuwaje. Natengeneza uzalendo wa kumuombea ushindi ili asifadhaike sana. Japo kwa vyovyote vile hata akishinda ushindi wake ni ule ule. Baada ya chali kimoko!

Akifungwa je!?[emoji23]
Mshana acha uongo bhna....najua moyoni Nini unaombea ila umefanya kama kuweka uzalendo kwanza....nasema iviiiii...naungana na unachowaza moyoni kwamba wapigweeeee....Sina uzalendo wwte na Hawa nyoka wa kijan
 
7 O'clock !!! Baelezee Baelewe
Batalokota Benyewe Kunyavu





Boll Itembee, Pira Samba Loketo, Pira Biriani, Pira Kikokoto, Pira Dubai
Raha Sana Mpaka Sasa Hivi Simba Wameiheshimisha Tanzania
Simba Sports Club
One Team One Dream
Nguvu Moja

imeiheshimisha Tanzania
 
Mshana acha uongo bhna....najua moyoni Nini unaombea ila umefanya kama kuweka uzalendo kwanza....nasema iviiiii...naungana na unachowaza moyoni kwamba wapigweeeee....Sina uzalendo wwte na Hawa nyoka wa kijan
naungana na unachowaza moyoni kwamba wapigweeeee....Sina uzalendo wwte na Hawa nyoka wa kijan[emoji23]
 
Good morning Tanganyika!
Leo sisi ni shangwe tu Maana akishinda SIMBA limeshinda taifa na huu sio ushindi wa kawaida ni ushindi wa kumfunga mgeni goli nyingi kwenye mechi ya kimataifa. Na si mechi ya kirafiki.

Shirikisho la mpira Africa CAF hawakusubiri kukuche. Wameupa thamani ya pekee ushindi wa SIMBA wa magoli 7 dhidi ya Horoya kama ushindi wa kihistoria tangu kuanzishwa kwa shirikisho hilo. SIMBA imetengeneza rekodi nyingine! Inastahili heshima, inastahili pongezi.

Karamu ya mabao na vipigo vya goli nyingi si jambo geni kwa mnyama. Hata mtani YANGA alishawahi kupokea hamsa nunge yaani 5 kwa sifuri na hajaweza kamwe kulipa hicho kisasi. Ushindi wake mara zote umekuwa wa kinyonge kama vijana wa kileo kitandani.

Niliposema nitasimama na SIMBA nilimaanisha na nilijua kwa hakika ninachokiongea Leo ni zamu ya mtani.. Ana kihoro cha mechi najua hajui matokeo yatakuwaje. Natengeneza uzalendo wa kumuombea ushindi ili asifadhaike sana. Japo kwa vyovyote vile hata akishinda ushindi wake ni ule ule. Baada ya chali kimoko!

Akifungwa je!?[emoji23]
 
Good morning Tanganyika!
Leo sisi ni shangwe tu Maana akishinda SIMBA limeshinda taifa na huu sio ushindi wa kawaida ni ushindi wa kumfunga mgeni goli nyingi kwenye mechi ya kimataifa. Na si mechi ya kirafiki.

Shirikisho la mpira Africa CAF hawakusubiri kukuche. Wameupa thamani ya pekee ushindi wa SIMBA wa magoli 7 dhidi ya Horoya kama ushindi wa kihistoria tangu kuanzishwa kwa shirikisho hilo. SIMBA imetengeneza rekodi nyingine! Inastahili heshima, inastahili pongezi.

Karamu ya mabao na vipigo vya goli nyingi si jambo geni kwa mnyama. Hata mtani YANGA alishawahi kupokea hamsa nunge yaani 5 kwa sifuri na hajaweza kamwe kulipa hicho kisasi. Ushindi wake mara zote umekuwa wa kinyonge kama vijana wa kileo kitandani.

Niliposema nitasimama na SIMBA nilimaanisha na nilijua kwa hakika ninachokiongea Leo ni zamu ya mtani.. Ana kihoro cha mechi najua hajui matokeo yatakuwaje. Natengeneza uzalendo wa kumuombea ushindi ili asifadhaike sana. Japo kwa vyovyote vile hata akishinda ushindi wake ni ule ule. Baada ya chali kimoko!

Akifungwa je!?[emoji23]

Kaka mshana na Ushabiki wangu kindakindaki wa Yanga, niwapongeze watani zangu..... Na niseme bado nipo kwenye sala maana naona sina namna baadae leo baada ya record uliyoweka.
 
Good morning Tanganyika!
Leo sisi ni shangwe tu Maana akishinda SIMBA limeshinda taifa na huu sio ushindi wa kawaida ni ushindi wa kumfunga mgeni goli nyingi kwenye mechi ya kimataifa. Na si mechi ya kirafiki.

Shirikisho la mpira Africa CAF hawakusubiri kukuche. Wameupa thamani ya pekee ushindi wa SIMBA wa magoli 7 dhidi ya Horoya kama ushindi wa kihistoria tangu kuanzishwa kwa shirikisho hilo. SIMBA imetengeneza rekodi nyingine! Inastahili heshima, inastahili pongezi.

Karamu ya mabao na vipigo vya goli nyingi si jambo geni kwa mnyama. Hata mtani YANGA alishawahi kupokea hamsa nunge yaani 5 kwa sifuri na hajaweza kamwe kulipa hicho kisasi. Ushindi wake mara zote umekuwa wa kinyonge kama vijana wa kileo kitandani.

Niliposema nitasimama na SIMBA nilimaanisha na nilijua kwa hakika ninachokiongea Leo ni zamu ya mtani.. Ana kihoro cha mechi najua hajui matokeo yatakuwaje. Natengeneza uzalendo wa kumuombea ushindi ili asifadhaike sana. Japo kwa vyovyote vile hata akishinda ushindi wake ni ule ule. Baada ya chali kimoko!

Akifungwa je!?[emoji23]

Hawa hakuna haja yakuwaombea kaka, wapigwe tuu..... hawa jamaa hawatupendi wala hawapendi ushindi wetu wapigwe tuu siwezi kuiombe yanga kwakweli, nimeamka ila bado nina usingizi ngoja nirudi kulala
 
Jana ilikuwa bonanza,mechi ya wanaume ni leo.We kipa gani kila shuti goli? Njoo beki sasa magoli 3 wao ndo wanatoa "assist" sijapata ona.

Mmeanza kulia lia mechi ya wanaume?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acha kujifariji leo kichapo kipo pale pale wle waarabu lazima wawachape zakutosha
 
Kaka mshana na Ushabiki wangu kindakindaki wa Yanga, niwapongeze watani zangu..... Na niseme bado nipo kwenye sala maana naona sina namna baadae leo baada ya record uliyoweka.
Asante sana mtani [emoji1545][emoji1752]
 
Back
Top Bottom