Soloma TV Online Senior Member Joined Jun 26, 2023 Posts 104 Reaction score 291 Jul 18, 2023 #1 Mpaka sasa kifurushi hicho kimekuwa kikikata mitaa tu na tayari kiko mkoani Kilimanjaro. Wenyewe wanasema kimesheheni Jezi mpya lakini nani mwenye uhakika kama siyo zile hadithi za majirani wao juu ya Jezi namba 6 ambayo bado ni kitendawili?
Mpaka sasa kifurushi hicho kimekuwa kikikata mitaa tu na tayari kiko mkoani Kilimanjaro. Wenyewe wanasema kimesheheni Jezi mpya lakini nani mwenye uhakika kama siyo zile hadithi za majirani wao juu ya Jezi namba 6 ambayo bado ni kitendawili?
demigod JF-Expert Member Joined Jan 2, 2015 Posts 8,292 Reaction score 15,250 Jul 18, 2023 #2 Hamna lolote. Jezi zinaingia tarehe 20 ambayo ni siku ya al hamis kutoka CHINA, Mmezugwa ili kufichwa ukweli kuwa jezi zimekawia kufika.
Hamna lolote. Jezi zinaingia tarehe 20 ambayo ni siku ya al hamis kutoka CHINA, Mmezugwa ili kufichwa ukweli kuwa jezi zimekawia kufika.
GUSA ACHIA BAHASHA GOLI JF-Expert Member Joined Apr 19, 2023 Posts 5,110 Reaction score 7,349 Jul 18, 2023 #3 demigod said: Hamna lolote. Jezi zinaingia tarehe 20 ambayo ni siku ya al hamis kutoka CHINA, Mmezugwa ili kufichwa ukweli kuwa jezi zimekawia kufika. Click to expand... Uto bna kila kitu kwenu kimebuma mmebakia kuwa wachambuzi wa kibegi cha jezi za simba
demigod said: Hamna lolote. Jezi zinaingia tarehe 20 ambayo ni siku ya al hamis kutoka CHINA, Mmezugwa ili kufichwa ukweli kuwa jezi zimekawia kufika. Click to expand... Uto bna kila kitu kwenu kimebuma mmebakia kuwa wachambuzi wa kibegi cha jezi za simba
BRN JF-Expert Member Joined Nov 18, 2013 Posts 5,188 Reaction score 6,633 Jul 19, 2023 #4 demigod said: Hamna lolote. Jezi zinaingia tarehe 20 ambayo ni siku ya al hamis kutoka CHINA, Mmezugwa ili kufichwa ukweli kuwa jezi zimekawia kufika. Click to expand... Unaumia ukiwa wapi
demigod said: Hamna lolote. Jezi zinaingia tarehe 20 ambayo ni siku ya al hamis kutoka CHINA, Mmezugwa ili kufichwa ukweli kuwa jezi zimekawia kufika. Click to expand... Unaumia ukiwa wapi
CAPO DELGADO JF-Expert Member Joined Aug 31, 2020 Posts 8,542 Reaction score 18,340 Jul 19, 2023 #5 Nataka niwashairi Simba Na Sunderland wauze aina Hiyo ya begi na JEZI zote 3. Kwa gharama ya shilingi laki mbili. 200, 000/=
Nataka niwashairi Simba Na Sunderland wauze aina Hiyo ya begi na JEZI zote 3. Kwa gharama ya shilingi laki mbili. 200, 000/=