Soloma TV Online
Senior Member
- Jun 26, 2023
- 104
- 291
Mpaka sasa kifurushi hicho kimekuwa kikikata mitaa tu na tayari kiko mkoani Kilimanjaro. Wenyewe wanasema kimesheheni Jezi mpya lakini nani mwenye uhakika kama siyo zile hadithi za majirani wao juu ya Jezi namba 6 ambayo bado ni kitendawili?