Jevin Samweli
New Member
- Mar 21, 2024
- 1
- 0
Msimu wa mvua umeanza ndani ya jiji la Dodoma.
Katika mchakato wa kuweka hali za barabara zetu katika hali nzuri serikali ya mkoa/halmashauri ya jiji la Dodoma ilimwaga kifusi katika barabara inayoenda mtaa wa muungano B na michese bwawani. Lakini mvua imeanza na kifusi hakijasambazwa.
Hii inasababisha ufinyu wa barabara na kero kwa watumiaji. Pia barabara imekuwa na makorongo sana.
Katika mchakato wa kuweka hali za barabara zetu katika hali nzuri serikali ya mkoa/halmashauri ya jiji la Dodoma ilimwaga kifusi katika barabara inayoenda mtaa wa muungano B na michese bwawani. Lakini mvua imeanza na kifusi hakijasambazwa.
Hii inasababisha ufinyu wa barabara na kero kwa watumiaji. Pia barabara imekuwa na makorongo sana.