KERO Kifusi barabara ya Muungano B na Michese Bwawani, Dodoma kimekuwa kero

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Jevin Samweli

New Member
Joined
Mar 21, 2024
Posts
1
Reaction score
0
Msimu wa mvua umeanza ndani ya jiji la Dodoma.

Katika mchakato wa kuweka hali za barabara zetu katika hali nzuri serikali ya mkoa/halmashauri ya jiji la Dodoma ilimwaga kifusi katika barabara inayoenda mtaa wa muungano B na michese bwawani. Lakini mvua imeanza na kifusi hakijasambazwa.

Hii inasababisha ufinyu wa barabara na kero kwa watumiaji. Pia barabara imekuwa na makorongo sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…