Kigali au Mombassa ungechagua wapi?

Kigali au Mombassa ungechagua wapi?

huyo rafiki yako hana lolote penzi ni kutoka moyoni

Kuna wengine tuna mioyo mikubwa kiasi kwamba mtu mmoja hatoshi.....wakiwa wawili au watatu ndo moyo unajaaa.....Sasa hapo inakua vipi???
 
Jamani wana Mjengo wa Jf
Kati ya demu wa Kinyarwanda au Mkenya wa Mombassa ungechagua kuelekeza majeshi pande ipi ikiwa wote wana sifa za uzuri na mamejaaliwa kisawa sawa? Kuna rafiki yangu yuko njia panda tumsaidie kwa kutoa sifa na tabia mbalimbali za mademu wa nchi hizi kwa wale wanaowafahamu vizuri pengine itampa mwanga kidogo.This is not a joke, mie nimewaona wote na nimechanganyikiwa na bado natafakari jinsi ya kumsaidia, ila picha zao siwezi kuzibandika humu.


Demu wa Kinyarwanda yeye anamwaga maji sana na haitaji kuliwa TIGO na ni mtamu sio sana kwa wapenzi wa TIGO

Demu wa Mombasa anapenda kutoa Jicho sasa hapa kwa wale wapenzi wa TIGO du balaaaa atakupa tigo mpaka uchanganyikiwe kwani wanatuma fomula ya Adema. SASa jamaa ako sijui anapenda wapi??? kwa mimi namchagulia wa MSA:bowl:
 
Rafiki yakohana lolote anaogopa nini mbona Mombasa Bomba tu. Tatizo la kigali kule zamani kulianzia ugonjwa wa JULIANA
 
Kama wewe wapenda vya pwani na ngoma kufukizwa na udi basi mombasa ni poa na kama wapendwa vya bara na mtaalam wa katelelo basi ahhhhhhh kula vitu hivyo vya kinyarwanda kwani wako sawa na dada zetu wa kagera
 
Back
Top Bottom