Jeep wrangler
JF-Expert Member
- Jan 7, 2024
- 524
- 1,093
Bila shako mko salama jf members wote, nawatakia kwaresma njema na mfungo wa Ramadhani.
Ninatarajia kushiriki Kigali peace marathon ambayo hufanyika kila mwezi June kila mwaka, Kigali, Rwanda.
Lengo kuu la kushiriki sio kushinda bali ni moja ya:
1. Kujifurahisha kwa njia ya michezo.
2. Kupata wasaa wa kuchangamana na mataifa mbali mbali ( fursa)
3. Utalii ( napenda sana utalii)
Maandalizi;
Nimeanza kufanya mazoezi ya kukimbia mbio ndefu na maeneo yafuatayo nimeyachagua kwa ajili ya kujifua;
1. Mbeya (Rungwe)
2. Iringa (,Mafinga na Iringa mjini)
3. Arusha( Oldonyo sambu na Ngaramtoni)
4. Kilimanjaro ( Moshi mjinj na Marangu)
Maeneo haya nimeyachagua kutokana na hali ya hewa inayo shabihiana na Kigali.
Muda wa mazoezi;
1. Alfajiri na jioni
2. Mara 4 kwa wiki.
Baada ya utangulizi huo, nakaribisha ushauri kwa wenye uzoefu.
Asenteni.
Ninatarajia kushiriki Kigali peace marathon ambayo hufanyika kila mwezi June kila mwaka, Kigali, Rwanda.
Lengo kuu la kushiriki sio kushinda bali ni moja ya:
1. Kujifurahisha kwa njia ya michezo.
2. Kupata wasaa wa kuchangamana na mataifa mbali mbali ( fursa)
3. Utalii ( napenda sana utalii)
Maandalizi;
Nimeanza kufanya mazoezi ya kukimbia mbio ndefu na maeneo yafuatayo nimeyachagua kwa ajili ya kujifua;
1. Mbeya (Rungwe)
2. Iringa (,Mafinga na Iringa mjini)
3. Arusha( Oldonyo sambu na Ngaramtoni)
4. Kilimanjaro ( Moshi mjinj na Marangu)
Maeneo haya nimeyachagua kutokana na hali ya hewa inayo shabihiana na Kigali.
Muda wa mazoezi;
1. Alfajiri na jioni
2. Mara 4 kwa wiki.
Baada ya utangulizi huo, nakaribisha ushauri kwa wenye uzoefu.
Asenteni.